Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

-Bongo harmonize ndio msanii bora anajua kuimba ana kipaji na hatumii nguvu nyingi, wakati Diamond anatumia nguvu nyingi sana Machawa, Media zake,kiki nk nk,
-bottom line kama kweli Diamond ana pesa si alipe Kodi yake tu ya 700M? Kamishna Mkuu wa TRA amuandikie Demand Notice apewe ultimatum akishindwa wauze Mali zake Ili kufidia Kodi,i.e wakamate Rolls-Royce,au Nyumba au magari mengine, (kama alikuwa hajalipa)
Sorry bro wewe ni mmakonde?
 
Ila aisee diamond yupo vizuri na ndio maana anafanikiwa kimziki binafsi sikutegemea kama atapiga show ya class ile yupo full package nawasifie kwa mara ya kwanza Wasafi kwenye show sound ya mziki ilikuwa nzuri sijui sound engineer alikuwa nani? Na kingine kilichonivutia mambo sijui mikono juu alijitahidi isiwepo, ubunifu wa stage na mandhari yaliokuwa yanabadilika that was unique, uingiaji wake wa stage na quality aliyoonesha ya kuimba ilinivutia, team nzima ya band na pamoja na chemistry waliitengeneza was fantastic I was like it. Mwisho kabisa nimpongeze amefanya show Kali

I liked it***
I Was liking It ***
 
Kwakuwa Numbisa na cocastic hawajatia neno lolote hapa licha ya kuuona uzi huu..

No doubt. Ilikuwa show bab kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku ifatilia hata, afu tangu mwanzo nilivoona ni copying kutoka huko mbelee, walaa sikutaka hata kujua nn kitakua. Mzee wa ku copy ana jipyaa gan mjini??

Wala hata hastui tenaaaa. Ye aendelee kudendeka na zuhura hadharani. Uwiiiiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii wa bongo huwa wanafanya maigizo jukwaani au muziki? Kwenda na kitanda au baiskeli jukwaani ni muziki au maigizo? Au mwingine kaenda na lori. Bongo fleva bado sana kwenye show za jukwaani. Christian Bella na wakongo wenzie ndo wanaweza hayo mambo ya jukwaani. Hata Peter Msechu pia. Diamond, Konde gang, Ali Kiba, Zuchu, Mario na wengine ni ushuzi mtupu. Yaani bora ukawatazame Twanga au Bogos Musica.
 
Wasanii wa bongo huwa wanafanya maigizo jukwaani au muziki? Kwenda na kitanda au baiskeli jukwaani ni muziki au maigizo? Au mwingine kaenda na lori. Bongo fleva bado sana kwenye show za jukwaani. Christian Bella na wakongo wenzie ndo wanaweza hayo mambo ya jukwaani. Hata Peter Msechu pia. Diamond, Konde gang, Ali Kiba, Zuchu, Mario na wengine ni ushuzi mtupu. Yaani bora ukawatazame Twanga au Bogos Musica.
Hayo ya kwenda na kitanda si ndio ubunifu wenyewe
 
Koffie Olomide kamuharibu sana Mond avaa kama yeye siku hizi
 
Back
Top Bottom