The druid
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 507
- 627
Who pays such ammount of money for that garbage? I be damned
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who pays such ammount of money for that garbage? I be damned
Acha kujikweza wengi memlipa 100K hiyo 7.5 M atakuwa wamelipa wasiopungua 2.Mkuu show ilikuwa Ramada kwa kiingilio cha million 7.5
Ila pia ilioneshwa live Wasafi Tv.
Imagine uku Wasafi Tv diamond anaoneshwa.
Uku TVE alikuwa mwamposa live.
Guess what!? Kuna mtu kafunikwa viewers wa tukio lake na Diamond mtoto wa Tandale. Ila huu ni mjadala wa siku nyingine.
Mada na unachoandika ni vitu viwili tofautiAlipe kodi aache kulia lia
Mkuu ulikuwepo?Acha kujikweza wengi memlipa 100K hiyo 7.5 M atakuwa wamelipa wasiopungua 2.
Huyo show kaiangalizia Wasafi tv hana ubavu wa kulipa hata hiyo laki moja,Acha kujikweza wengi memlipa 100K hiyo 7.5 M atakuwa wamelipa wasiopungua 2.
7.5 mil zilikuwa meza 20.Acha kujikweza wengi memlipa 100K hiyo 7.5 M atakuwa wamelipa wasiopungua 2.
Ni kweli upo sahihi kabisa.Huyo show kaiangalizia Wasafi tv hana ubavu wa kulipa hata hiyo laki moja,
Mashabiki lia lia wa Sadala ni choka mbaya waliojikatia tamaa
Maskini roho mbaya utawajua tuu, nina uhakika analipa kodi kuliko ukoo wenu woteAlipe Kodi
Kwani kuna zawadi ya mlipa Kodi mkubwaMaskini roho mbaya utawajua tuu, nina uhakika analipa kodi kuliko ukoo wenu wote
Walipoambiwa ni kikundi cha wahuni sio lebo walijiliza mji mzima...leo hii hawajulikani walifia wapi na genge lao la mabange 😂😂😂😂Nasubiri comments za genge la wahalifu la wamakonde
No, ipo zawadi ya kuchukia vijana waliofanikiwa kama Diamond Platnumz.Kwani kuna zawadi ya mlipa Kodi mkubwa
Mkumbusheni kulipa kodi pia isije ikajilimbikizaMkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.
Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.
Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥
Kama zuchu kilichomkuta marekaniWalipoambiwa ni kikundi cha wahuni sio lebo walijiliza mji mzima...leo hii hawajulikani walifia wapi na genge lao la mabange 😂😂😂😂
Alijaribu kufanya show kwenye sebule flani masaki kilichomtokea hatosaahau 😂😂😂
NdioKwani kuna zawadi ya mlipa Kodi mkubwa
Zuchu bado hana skill za kutawala jukwaa, kitu pekee anachokiweza ni kukatika viuno vingi.Kama zuchu kilichomkuta marekani
Ndio
Ila hakuna zawadi ya mtu mwwnye chuki za mafanikio ya mwingine.
Mwambie mumeo asiwe anaongeza 00. TRA watammaliza.View attachment 2465064
Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.
Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.
Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.
Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.
Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥
Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.
Diamond = Greatest Of All Times
Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.