Diamond afanya uwekezaji mkubwa kwenye betting...Atambulisha rasmi Wasafi betting

Diamond afanya uwekezaji mkubwa kwenye betting...Atambulisha rasmi Wasafi betting

Ubalozi wa ile kampuni ya kubeti jina limenitoka si itabidi uishe sasa au?
 
Ukifukunyua ndani unakuja kupata yeye ni share holder labda, au brand ambassador, ila muhimu mpunga unaingia
 
Ukifukunyua ndani unakuja kupata yeye ni share holder labda, au brand ambassador, ila muhimu mpunga unaingia
Ebu fukunyua tumkamate huyu brand ambassador 😂😂😂😂😂😂😂
 
Ngoja tusubilie yule aliyesifiwa kifua na mama tuone atatambulisha nini
 
Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.

Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.

Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.

View attachment 2023903
Diamond atoa somo kubwa kuhusu branding, katengeneza branda kupitia brand yake anapata wawekezaji mwisho wa siku wanagawana asilimia,yy mtaji wake ni jina tu la WASAFI.
 
Diamond atoa somo kubwa kuhusu branding, katengeneza branda kupitia brand yake anapata wawekezaji mwisho wa siku wanagawana asilimia,yy mtaji wake ni jina tu la WASAFI.
WATANZANIA WALIO WENGI WAMEWEKEZA KWENYE UMBEA NA MAJUNGU. KAMA KUNA KAMPUNI INAHITAJI TEAM ZA MAJUNGU ZIJE BONGO.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom