chagga land
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 394
- 95
So what!!!
Kuwa hapa kazi tu.!inatufundisha nn hadith yako
Kuna kitu kinaniumiza kichwa, inasemekana bwana mdogo alikiba anamashabiki wengi sasa najiuliza inawezekana shabiki wa damu wa alikiba hujamfollow alikiba afu umemfolllw diamond? kwa mantiki ipi?
au ni kma kawaida ya bwana mdogo kutafuta kiki kupitia Raisi wa Wasafi dunia nzima? Naona ni mfano wa nyau anaejiona kama simba hivii, onatakiwa wamfollow afikie hta idadi ya followers wa Zari maana ni aibu Shardcole cute b pwilo miss lincoln sumbai
Mkuu angalia team kiba wanavyotoka povu
Hivi vizazi vya mzee benja na jk hasara tupu. Badala ya kufanya na kufikiri mambo ya msingi, kazi kuangalia wasanii wanafanya nini...
Ujinga mtupu