chagga land
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 394
- 95
hatimae rais wa wasafi duniani na kwenye galaxy,baba wa mtoto mwenye jina kubwa duniani na mwanamziki mwenye mkwanja mrefu kuliko wasanii wote afrika mashariki na kati anaetingisha na nyimbo ya nana ambayo imepata nomination za kutosha zaidi ya nyimbo yoyote afrika nzima na inayokaribia kuwa na viewers wengi sana youtube,prof of proffesors asali ya warembo na ambae hachuji kwa kila anachokitoa diamond platnumz afikisha followers milion moja instagram! wapi kiba na shoo za mchambawima!!

