Diamond afunga hospitali ya Amana kwa muda

Hili ni jambo zuri na la kuigwa kwa kweli...
 
Huwa nawaambia watu kwamba huyu jamaa,anaona mbali sana,he is always one step ahead,lakini watu bado huwa wanataka kumringanisha na nani vile????,
 
Its good to be in position of giving than to be given, giving is God's ministry to give what you cherished most and not to give what you don't want or need naseeb Abdul (diamond platnumz) your hands and carrier will never run dry as sure as God lives, amen

Once again Happy birthday Tanzanian music icon SIMBA
 
Kama anatoa kwann asiwe na mafanikio aliyonayo???
 
nice...nazani kila aliyewahi kuingia leba kama mzazi lazima ataguswa na hiki alichokifanya chibu...
 
Chibuuuuu!!! Can't imagine how our mom feel proud of having u as her son congrats ila Nina kawivu ka maendeleo najtahid nifike n kutimiza ndoto nilzonazo
 
kuwa na washauri wazuri nakukubali kushaurika jambo nzuri sana ila yule jamaa yetu kule posta sijui nikwanini asee
 
Mi napenda kumwangalia Diamond zaidi sababu najifunza vitu vingi kupitia kwake huku naburudika na Mziki wake.
Yule mwingine napata Mziki tu. Hana cha zaidi.

Hongera Diamond, we ni zaidi ya Mwanamziki. Nakumbuka kuna Mwanamziki wa zamani alikuwa anaumwa ukampa gari la kutembelea. Kitu kama Tx William. Unamoyo wa kutoa toka zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…