Diamond afunguka kiroho mbaya kinachomfanya ampende Zari

Diamond afunguka kiroho mbaya kinachomfanya ampende Zari

Hapo sasa ndipo niliposhangaa! Watoto wa baba wa taifa tu hawajinadi ijekua yeye mjinga fulani?
Hizi sifa za kijinga ndizo zinazonifanya nisimkubali Diamond hata kidogo!

Kama Baba wa mtoto ni Superstar wa Taifa kiujumla kwann watoto wasiwe wa Taifa!!!

Mfano kati ya mtoto wa Jay z na watoto wa George bush nani ni maarufu!!!... Ukifahamu hili utakiri mtoto mtarajiwa wa Diamond ni mtoto wa Taifa
 
Hapo sasa ndipo niliposhangaa! Watoto wa baba wa taifa tu hawajinadi ijekua yeye mjinga fulani?
Hizi sifa za kijinga ndizo zinazonifanya nisimkubali Diamond hata kidogo!

Tatizo shule shule mamaaaaaa!! Kwa umaarufu wa Jay z nae mtt wake angekuwa wa dunia nzima
 
Kama Baba wa mtoto ni Superstar wa Taifa kiujumla kwann watoto wasiwe wa Taifa!!!

Mfano kati ya mtoto wa Jay z na watoto wa George bush nani ni maarufu!!!... Ukifahamu hili utakiri mtoto mtarajiwa wa Diamond ni mtoto wa Taifa

Kwahiyo unataka kuniambia Diamond ni star kuliko Nyerere au nini?
 
Kwa Bongo hii mademu micharuko kila kukicha wao ni kujikwatua tuuu, kujipiga mapicha na kutupia instagram jioni wanararua mifuko yetu!!
Hongera ndomo kwa kupata demu anaejielewa!
Ndiyo maaana kiba anatoa mimacho tuu demu wa maana hana coz sio Int'l!!
Go ndomo toto la tandale!!!
 
Wakati akihojiwa na Clouds Fm kipindi cha leo Tena alipoulizwa anachopenda zaidi kwa Zari ni kitu gani?

Alifunguka kuwa anachopenda ni tabia ya Zari ya kujielewa. Akaendelea kufunguka Zari anajua kutofautisha maisha yao halisi na maisha ya instagram. Kwani baada ya maisha ya instagram ya mapichapicha anajua kuwekeza kwa ajili ya kesho na ni mshauri wake wa mipango ya kimaendeleo.

Pia anasema anazimia ngozi yake Zari Ile mbaya.

Kasema mtarajie mtoto na atakuja kwenye social media kuwaomba mmchagulie Jina siku zikifika maana huyu ni mtoto wa kitaifa.

Amekataa katakata kusema kati ya Zari na Wema nani anayaweza zaidi licha ya kubananishwa sana na watangazaji.

Pia alitumia nafasi hiyo kukanusha uvumi kuwa kagombana na Fela baada ya kumshauri Fela awanunulie gari Yamoto kwani kasema Yamoto wanajengewa kila mtu nyumba yake kitu ambacho ni kikubwa kuliko gari. So huo uvumi ni wa uongo.

Pia alikanusha kuwa na nyama ya kusindika (beef) na Ommy Dimpoz.

Nb: Mimi nimependa hiyo spirit ya Zari muda wa kazi mnapiga kazi, muda wa mapenzi mapenzi na muda wa kuuza sura mnauza sura.

Anyway hayaniuhusu sana, mambo ya watu sina muda nayo kuyafuatilia
 
Back
Top Bottom