Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa moja halihalalishi kosa lingineBasata wamempa mswahili cha kuongea, nyimbo sijaiona lakini kusema kashoot kanisani ndio afungiwe haiingi akilini.
Nakumbuka banana video ya ZOBA kama sikosei ilikuwa na scene ya kanisani, sikumbuki kama ilifungiwa.
Kama sijakuelewa hivi, unataka kusemaje?Kosa moja halihalalishi kosa lingine
Kwani wimbo wake umelenga msikitini?Mbona hakutumia msikiti. Nyumbu mkubwa Sana huyo Mondi a k.a mtembeza mkongojo kwa Wanawake.
Unampangia atumie jengo gani ? Ulimtungia nyimbo au ulikuwa Director wa hio Scene ?Mbona hakutumia msikiti. Nyumbu mkubwa Sana huyo Mondi a k.a mtembeza mkongojo kwa Wanawake.
Mtajua nyie.....Unampangia atumie jengo gani ? Ulimtungia nyimbo au ulikuwa Director wa hio Scene ?
Tutakapoanza kupangiana cha kufanya na wapi tukifanye basi dunia hii itakuwa a very Boring Place..., Yaani Magereza ya Nje
Unaweza kutuambia umuhimu wa ile scene ya kanisani kuwepo pale ni nini? Na kwanini huo umuhimu usiwe msikitini ilihali zote nyumba za ibada?Unampangia atumie jengo gani ? Ulimtungia nyimbo au ulikuwa Director wa hio Scene ?
Tutakapoanza kupangiana cha kufanya na wapi tukifanye basi dunia hii itakuwa a very Boring Place..., Yaani Magereza ya Nje