Diamond aibuka na kupinga wimbo wake kufungiwa, asema nchi ina wenyewe

Diamond aibuka na kupinga wimbo wake kufungiwa, asema nchi ina wenyewe

Unaweza kutuambia umuhimu wa ile scene ya kanisani kuwepo pale ni nini? Na kwanini huo umuhimu usiwe msikitini ilihali zote nyumba za ibada?

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ila ninajiuliza maswali mengi bila majibu;
  • Hili kanisa liko bongo au ughaibuni?
  • Lile jengo la kanisa walilivamia bila ruhusa ya wenyewe?
  • Waumini wa hilo kanisa wanalizungumziaje hili tukio?
    - Viongozi wa hilo kanisa wamechukua/chukuliwa hatua gani?

    Mambo ni mengi kwa kweli.
 
Ni haki yake kulalama

Ila mimi mpaka sasa sijaona kosa la Mondi
Serikali ya Tanzania inaendeshwa kishamba tu.

Huyo Diamond video zake zingeweza kutumika kuitangaza nchi vizuri kuliko Royal Tour, kwa gharama yake mwenyewe, wao wanazi ban.

In fact ile hela ya Royal Tour ingetumika kwa wasanii wadogo na wakubwa wa ndani ku promote utalii mitandaoni, serikali ingetengeneza ajira na kuvutia watalii vizuri zaidi.
 
Sa kwanini wanatangaza ifungiwe uku youtube ipo
huko Youtube na nyumbani kwako fanya unavyotaka lakini ni marufuku video hiyo kusambazwa popote nchini. Ukiionyesha kwenye basi, bar, kumbi za sinema au kumrushia mtu kwenye simu unatenda kosa na tutakukwida.

Biggest artist in the country can not release clean and legal content. Kila mwimbo ni tafsida za ngono na kukwaza waumini wa dini. Archetypical WACHAFU MEDIA, masquarading as WASAFI.
 
Huo utamaduni wa hawa wasanii kukimbilia makanisani kufanyia maigizo yao uliletwa na nani?

Kanisa ni nyumba ya ibada, inaheshimiwa na wanaoabudu mahali husika, unapokwenda kufanyia maigizo yako pale kisa kuna fulani aliwahi kufanyia huko haiwezi kuwa defence.

Huyo director wake alikosa sehemu nyingine yoyote ya kufanyia hilo igizo lao? au walichagua kanisani kwasababu wanaamini Kanisani ndio delicate place itawavutia watu kutazama?

Hao watu watakaovutiwa kuona nyumba yao wanayoiheshimu kwa ajili ya ibada zao inafanyiwa maigizo ni watu wa aina gani? wajifunze kuheshimu vitu vya watu, waache kufanya mambo kwa mazoea.

Naamini huu uamuzi wa Basata utakuwa fundisho kwa wajinga wengine waliokuwa na mipango ya aina hiyo. Diamond kama anaona ameonewa na Basata next time akaombe kufanyia maigizo yake msikitini.
 
Unaweza kutuambia umuhimu wa ile scene ya kanisani kuwepo pale ni nini? Na kwanini huo umuhimu usiwe msikitini ilihali zote nyumba za ibada?

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Sijaangalia hio Scene ila siwezi kumpangia mtu afanye kitu wapi hata angeamua kukifanyia makuburini kwenye mizimu ya mababu zake...

Mimi kutokuona umuhimu sio kwamba wengine hawaoni..., na dawa ya kutokuona umuhimu ni mimi kutokuangalia hio kazi na sio kumlazimisha mtu asifanye kile ambacho sikubaliani nacho
 
Kweli waliotuletea hizi Imani walituweza sana..., yaani sasa wewe ushakuwa referee wa imani kwamba nani afanye nini na wapi ?

Na je Hindus wakianza kuja juu kwa kuona kwamba Their Divine Animal (Cow) anafanyishwa kazi ngumu ? Tutafika kweli hapo !!!!
Ndiyo tutafika.

Katuni ya mtume iliua Mwalimu ufaransa na maandamano makubwa Mpaka huku Africa .

Kila mtu Aches within his perimeter.
 
Ndiyo tutafika.

Katuni ya mtume iliua Mwalimu ufaransa na maandamano makubwa Mpaka huku Africa .

Kila mtu Aches within his perimeter.
Kwahio wao wenye akili za hivyo na wewe mwenye akili kama zao mtuharibie wengine ambao hatumo kwenye hizo pettiness ?

For what ?!! Imani ambazo core foundation zake ni upendo na uvumilivu ?. Nadhani tuna mengi yenye tija na yanayotusumbua tuyashughulikie zaidi ya hizi petty indifference....
 
Kwahio wao wenye akili za hivyo na wewe mwenye akili kama zao mtuharibie wengine ambao hatumo kwenye hizo pettiness ?

For what ?!! Imani ambazo core foundation zake ni upendo na uvumilivu ?. Nadhani tuna mengi yenye tija na yanayotusumbua tuyashughulikie zaidi ya hizi petty indifference....
Okay nimekuelewa KWA reply hii uzi ufungwe.


They are truly petty issues ila inapokuja kwenye swala la imani ndugu zangu huwa wakali Sana.


Twende tukalime alizeti Dodoma, Singida au manyara
 
Ila ninajiuliza maswali mengi bila majibu;
  • Hili kanisa liko bongo au ughaibuni?
  • Lile jengo la kanisa walilivamia bila ruhusa ya wenyewe?
  • Waumini wa hilo kanisa wanalizungumziaje hili tukio?
    - Viongozi wa hilo kanisa wamechukua/chukuliwa hatua gani?

    Mambo ni mengi kwa kweli.
Kanisa lipo Kisarawe, mkoa wa pwani, Tanzania
Viongozi wa kanisa waliwapa ruhusu na wakaona hiyo scene haina tatizo baada ya kujiridhisha nayo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama angelianzia kushutia msikitini, haya yote yasingelitokea!
Wimbo wangu ujao ntafanya ku-shoot-ia msikitini nione reaction itakayokuwepo!
[emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom