Diamond Aichafua Marekani

Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
 
Kinachoniuma ni hiki. Wakati Diamond anatafuta mkwanja huko mimi muda huu nahangaika kumtongoza kiziwi mmoja hivi.

Anang'ang'ania tuongee wakati hanisikii na kuchati hataki.

Ni vurumai.
 
Kinachoniuma ni hiki. Wakati Diamond anatafuta mkwanja huko mimi muda huu nahangaika kumtongoza kiziwi mmoja hivi.

Anang'ang'ania tuongee wakati hanisikii na kuchati hataki.

Ni vurumai.


mshikie panga ataelewa tuuuu
 
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
kwahiyo kwako wazungu wakikuambia bon'goka unabon'goka bila kuuliza. Maana unawaabuduπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Inaezekana ni darasa tokana na wivu wako wa kike.mbona usemi kaingiza mkwanja kiasi gani
 
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Husda hii!
 
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Angalia mkuu. Unakoelekea si kuzuri, utakuja kuwa mchawi.
 
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Imeona ehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…