kwani show za africa wanao huzuria ni wakina nani??? hata za huko show ya nani utawakuta wakina billgates, mark, jack ma etc...Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
kama ndugu zao taarifa zao hazipo wazi utazifatilia za nini...???Watu wanafuatilia maisha ya watu baki lakini hata ndugu zao hawajui wakoje. Wanaishije.nk. noma sana.
Halafu huko Marekani nani anaijua Tandale,hawa watu wa matangazo buure kabsa,hatawabeba boksi nao hawatapata waache box wamfuate domo?kwa kipi zaidiHakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
kuna kitu hakipo sawa...akiongelewa Diamond sio lazima atajwe Ali kiba...makosa haya tumeyafanya kwenye mpira Simba na Yanga..ndio maana hatufiki mbali...Moja kijana ambaye niwakipekee hapa tz ni huyu jamaa... Anavyopigan namaisha nihatare.
Hawa wakina alikiba wapo tu kumpa ushindan ila mwisho wasiku, usipomkubal utakua mchawi.
Kuichafua marekani sio kitu kidogo angalia shoo wanazopiga wakina justin bieber na wasanii wengine wakubwa ndo utaona marekani inavyochafuliwa diamond anajitahidi kusaka mpunga na kutuwakilisha bado hajafika hiz levelHuyu dogo wa Tandale na Mfalme wa Madale Chibu D,anazidi kuichafua Marekani kama sio kuivuruga kabisa...hizi show si mchezo...View attachment 807534 View attachment 807538 View attachment 807541 View attachment 807543 ....
Aiseee umewaza kama mm,huyo jamaa inawezekana ndio Nyani Ngabu mwenyeweMimi nauliza huyu promota DMK global si ndio nyani ngabu au mm namjua mwingine?
Vingunguti ndanindani kuna kamtaa kanaitwa Boston, Diamond atakua Boston ya USA sio ya Vingunguti acha kuotaVile na mimi nipo huku huku Boston,lazima nimuunge mkono msanii kutoka my motherland.
Karibuni sana Boston WCB Team
Panga kwenye simu mkuu?
Nilimpa namba jana leo kanicheki hayo mazungumzo utacheka
Ndoa changa mkuu lazma aitendee haki....Naona mwingine bado yuko busy kutafuta mvumo wa radi sijui ata upatia wap