Diamond aimbe nini tena....?!!

Diamond aimbe nini tena....?!!

1.Amesharap........... ...Fresh Rmx
2. Ameimba taarab........ Nasema na wewe
3. Ameimba zouk.......... Ntampata wapi na nyingine nyingi
4. Ameimba RNB.......... Nenda kamwambie na nyingine nyingi
5. Ameimba Afro Pop......... fire fire na nyingine nyingi
6. Ameimba mchiriku......... Mdogo Mdogo
7. Ameimba Singeli................ Moto
8. Ameimba Pop...................... African Beauty na nyingine nyingi
9. Ameimba Bolingo.......... Inama, Yope


Honestly, katika historia ya Muziki wa Tz hakuna wa kumfikia Diamond in terms of versality, ameshaimba mahadhi mengi sana ya nyimbo na kote huko ametoa hit songs kitu ambacho hakuna aliyejaribu kujaribu achilia mbali kufanikiwa.

Tukatae tukubali, kumchukia Diamond ni kuuchukia wakati, huu ni wakati wake, kitakachomtoa nambari moja ni pale wakati wake utakapoisha.

Miaka ya 2010’s , tutaikumbuka kama miaka ya Diamond Platnumz, kama vile tukizungumzia 1960’s tunavyowakumbuka The Beatles kwenye Muziki au 1980’s na MJ...

Diamond anajiita sukari ya warembo, wewe mrembo?

Malaya wengi wanatembea na kila aina ya wanaume

Diamond he had a chance to make history ila matusi na lifestyle yake sio ya kumpa sifa za mtu wa uma

Binafsi napensa mziki wake, ila muwe na kiasi mnapokuwa na mzuka wa mahaba!!

Yope mzuri

Marry you naweza kusikiliza kila siku

Kibaya kuliko vyote dunia hii hata ufanye nini hauwezi kupendwa na kila mtu

kuna mtu yuko radhi ajiue kwa nyimbo za Gigi Money!..ni mahaba kama haya yako kwa diamond
 
Diamond anajiita sukari ya warembo, wewe mrembo?

Malaya wengi wanatembea na kila aina ya wanaume

Diamond he had a chance to make history ila matusi na lifestyle yake sio ya kumpa sifa za mtu wa uma

Binafsi napensa mziki wake, ila muwe na kiasi mnapokuwa na mzuka wa mahaba!!

Yope mzuri

Marry you naweza kusikiliza kila siku

Kibaya kuliko vyote dunia hii hata ufanye nini hauwezi kupendwa na kila mtu

kuna mtu yuko radhi ajiue kwa nyimbo za Gigi Money!..ni mahaba kama haya yako kwa diamond

Hebu ntolee utumbo wako hapa
 
Mkuu mziki Ni utambulisho wa taifa ujue nenda kote huko ukujuako lazima kuwe na Aina ya muziki
 
Ali Kiba kaimba hadi manyimbo ya brass band za jeshi, Ali Kiba kisha tengeneza beat linalia kama mlio wa treni
[emoji23][emoji23][emoji23] Beat la wimbo gani hilo?
 
1.Amesharap........... ...Fresh Rmx
2. Ameimba taarab........ Nasema na wewe
3. Ameimba zouk.......... Ntampata wapi na nyingine nyingi
4. Ameimba RNB.......... Nenda kamwambie na nyingine nyingi
5. Ameimba Afro Pop......... fire fire na nyingine nyingi
6. Ameimba mchiriku......... Mdogo Mdogo
7. Ameimba Singeli................ Moto
8. Ameimba Pop...................... African Beauty na nyingine nyingi
9. Ameimba Bolingo.......... Inama, Yope


Honestly, katika historia ya Muziki wa Tz hakuna wa kumfikia Diamond in terms of versality, ameshaimba mahadhi mengi sana ya nyimbo na kote huko ametoa hit songs kitu ambacho hakuna aliyejaribu kujaribu achilia mbali kufanikiwa.

Tukatae tukubali, kumchukia Diamond ni kuuchukia wakati, huu ni wakati wake, kitakachomtoa nambari moja ni pale wakati wake utakapoisha.

Miaka ya 2010’s , tutaikumbuka kama miaka ya Diamond Platnumz, kama vile tukizungumzia 1960’s tunavyowakumbuka The Beatles kwenye Muziki au 1980’s na MJ...
Umemaliza kila kitu king Diamond
 
Back
Top Bottom