Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 277
Sawa take Hiyo!!!!!!!
Alifikiri wasanii wenzake kukaa kimya kuhusu utajiri wao ni sababu gani?
Wapo wanaopata hela nyingi Hata kumzidi lakini huwezi kuwaona magazetini au mitandaoni kwa kihofia kuandamwa.
Acha dozi imuingie pole pole ndio Kesho asipost mambo ya kusifia biashara asiyolipia ushuru!!!!!
Alifikiri wasanii wenzake kukaa kimya kuhusu utajiri wao ni sababu gani?
Wapo wanaopata hela nyingi Hata kumzidi lakini huwezi kuwaona magazetini au mitandaoni kwa kihofia kuandamwa.
Acha dozi imuingie pole pole ndio Kesho asipost mambo ya kusifia biashara asiyolipia ushuru!!!!!