[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona kama Simba kanuna.. kodi noma [emoji23]
Umeona mbali...Nahisi wanamtumia kama urimbo (kibiashara/hamasa) ili wananchi wa kawaida nao wahamasike kulipa kodi...maana wasanii wapo wengi sana but why only diamond?
Kuhusu kupiga picha na huyo kiumbe nazani ni ndoto ya wengi, so ni ufagio kdg kuuza nae, maana hata afande nani cjui yule alisema ni bahati pia kupiga picha na mwanamuziki maarufu afrika na duniani kama diamond.
Hahahahahaaa!, alitaka kumwambia I LOVE U!!!!Huyo dada mwenye sketi ya blue anaonesha kabisa kuna kitu moyoni mwake anataka kumwambia Platnumz.
Mpaka amesahahau Kama ni MKE wa mtu mkuu.Huyo dada mwenye sketi ya blue anaonesha kabisa kuna kitu moyoni mwake anataka kumwambia Platnumz.
Umeona eeh......Diamond itabidi aanze kuwatoza hela sasa, manake mtu akijiskia kupiga picha na Naseeb anajifanya kutafuta kisingizio cha kumuita cuz anajua hiyo ndio fursa pekee ya kukutana nae maishani mwake mote
Ki vipi?Okay! Good treatment kwa walipa kodi.
Kwa Tanzania hii?? Hebu tupe takwimu zako ni mwanamuziki gani anayelipwa au mwenye Pesa kuliko huyu dogo? Nilikuwa najua zamani kidogo, mwanzoni wa 2000,Jide komandoo ndo alikuwa mpango mzima.Kwa mtazamo wangu Mond yuko Poa na hapendi friction na serikali yake.Sawa take Hiyo!!!!!!!
Alifikiri wasanii wenzake kukaa kimya kuhusu utajiri wao ni sababu gani?
Wapo wanaopata hela nyingi Hata kumzidi lakini huwezi kuwaona magazetini au mitandaoni kwa kihofia kuandamwa.
Acha dozi imuingie pole pole ndio Kesho asipost mambo ya kusifia biashara asiyolipia ushuru!!!!!
Kwenye hio bil 2.2 unajua gharama zilizotumika kuipata?!!Unalipwa Bilioni 2.2 alafu unalipa kodi milioni 35...
Hiyo lazima TRA wakuite kuchukua Chao.
Ingekuwa kila mtuhumiwa wa kukwepa kodi wanapiga nae picha namna hiyo!Ki vipi?
Kweli bwana kwenye majukwaa kiingilio kikubwa hebu ona maafisa wa Serikali wakiweka pozi na Diamond kweli aibu walianza polisi ss TRA sijui nani atafuata kwa ajili ya "PHOTO NA SIMBA"walikuwa wanataka picha na simba tuu
Hata siwaelewi hawa jamaa na yule AfandeIngekuwa kila mtuhumiwa wa kukwepa kodi wanapiga nae picha namna hiyo!