Na kwanini hujasema Wasafi wanashindana na EFM/ETV?Wafanyabiashara wote ni washindani wanashindana, kwani haujui kuwa EFM wanashindana na cloudsfm,radio one, east Africa radio? Kwa hiyo unataka niseme Wasafi media wao hawashindani? Yaani waingie kwenye soko la ushindani si kwa ajili ya kushindana? Acheni ***** nyie hayo mateam yenu yasiwafanye mjitoe ufahamu kwamba hamjui biashara ni kushindana? Fair Competition Act ilitungwa kwa ajili hiyo hata Mondi mwenyewe anajua anashindana, na anajua kuna watu wanashindana naye!
Angefananisha na lile tamasha la Shika Ndinga ingependeza zaidiHujamuelewa tu. Comparison na clouds haiepukiki kwa sababu fiesta ndiyo tamasha linalofanya vizuri kwa sasa. Ingekuwa siyo sawa kama angelinganisha wasafi festival na kijitamasha cha ajabu.
Kama shida yako comparison na clouds waombe mods wabadilishe waandike wasafi festival vs ebonyfm festival ya iringa. Ninachokiona ni hofu ya ushindani tu. Mashabiki wa Kiba wanadai msanii wao hashindani na mtu, mashabiki wa Mondi wanasema msanii wao hashindani na mtu. Unabaki unashangaa inawezekanaje katika biashara ya ushindani wa muziki hawa watu hawashindani?Wapo lkn si kwa kila wakifanyapo ufanye comparison na CMG. Kwafujo Djs akina Majizo walikuwa wanaandaa matamasha lkn sijasikia kuwa wanaandaa kwa nia ya kushindana na CMG. Tatizo jamaa kichwa chake cha habari alivyokiweka utazani CMG peke yao ndiye mwenye mamlaka na kuandaa matamasha tz, mwengine akianzisha nongwa. Kwanza Kwafujo walikuwa wa kwanza kuandaa matamasha kabla ya hao CMG.
Na watapata kibali cha ku perform Leader’s Club
Siwezi kutaja zote zipo nyingi sana dar peke yake zaidi ya 30 Mbeya karibia 20. Punguzeni hofu mtakufa stressNa kwanini hujasema Wasafi wanashindana na EFM/ETV?
Nani anahofu ww, kwa kusema wanashindana na CMG ndio hawatafeli. Ufaulu wa tamasha lolote inategemea na promo na si kufanya comparison kama yakoKama shida yako comparison na clouds waombe mods wabadilishe waandike wasafi festival vs ebonyfm festival ya iringa. Ninachokiona ni hofu ya ushindani tu. Mashabiki wa Kiba wanadai msanii wao hashindani na mtu, mashabiki wa Mondi wanasema msanii wao hashindani na mtu. Unabaki unashangaa inawezekanaje katika biashara ya ushindani wa muziki hawa watu hawashindani?
Nimegundua ni hofu na kuepuka pressure za ushindani hofu tu na kutojiamini kuwa wasafi festival isipofanya vizuri tutaonekana tumeshindana tumeshindwa kwa hiyo tuseme hatushindani na mtu. Mashabiki wa kiba nao wana hofu msanii wao asipofanya vizuri wanaonekana wameshindana wameshindwa inabidi waseme msanii wao hashindani na mtu lakini kiuhalisia huwezi kufanya muziki biashara usishindane. Sheria za nchi zinahimiza biashara ya ushindani.
Tuondoe hofu na kutojiamini, unahisi Fiesta ina nguvu kiasi hicho mpaka unahofu Wasafi festival haiwezi kushindana nao? Ni hofu tu
Kwani hawa Wasafi TV na wao watakua wanatoa zawadi ya Gari kwenye tamasha lao?Angafananisha na lile tamasha la Shika Ndinga ingependeza zaidi
Kumbe acha kulialia sasa you have to celebrateNani anahofu ww, kwa kusema wanashindana na CMG ndio hawatafeli. Ufaulu wa tamasha lolote inategemea na promo na si kufanya comparison kama yako
Nani kalia, jifunze kuandika vichwa vya habari vizuri, humu member kibao wameki crush kichwa chako cha habari.Kumbe acha kulialia sasa you have to celebrate
Walio crush ni wachache wale team Mondi wenye hofu kama wewe ndiyo wanaolialia hizi team. Yaani kweli ukijipima as a reasonable person unataka kuuhadaa umma kwamba Diamond Platinum hashindani na mtu sembuse kushindana na clouds?Nani kalia, jifunze kuandika vichwa vya habari vizuri, humu member kibao wameki crush kichwa chako cha habari.
Hahaha hapo sasa hapatatoshaKama namuona Boss Ruge kijasho kinavyomtiririka. Kwenye tamasha usimsahau Jide na Sugu tafadhali[emoji16]
Labda...Kwani hawa Wasafi TV na wao watakua wanatoa zawadi ya Gari kwenye tamasha lao?
Sio mbaya as long as kipato cha wasanii kitaongezeka na wananchi tutapata burudani....Katika hali ile ambayo inajulikana ni ushindani wa kibiashara kati ya Wasafi na clouds media. Wasafi wameamua kuja na tamasha la wasafi festival kuzunguka mikoani kama fiesta ya clouds wafanyavyo. Nini maoni yako?
Mnachobishana ni nini? yeye kataja Wasafi vs Clouds kwa sababu level za wasafi kwa sasa ni za Clouds so wanadeserve kucompete...WCB hawawezi kushindana na EFM ambao nguvu yao ndogo sana ni sawa na kuichukua BBC uipambanishe na Le Mutuz Media which is not fair...!!! but alichoteleza mtoa mada ni kichwa cha habari...Na kwanini hujasema Wasafi wanashindana na EFM/ETV?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulitaka CMG wakimbilie mahakamani kama mwendokasi walivyofanya baada ya serikali kusema italeta mwekezaji mwingine?