Diamond aja na Wasafi Festival kushindana na Fiesta?

Diamond aja na Wasafi Festival kushindana na Fiesta?

Kwa hiyo kila mtu atakayeanzisha tamasha anashindana na Fiesta? au unachomaanisha TZ CMG ndio peke yao wanaruhusiwa kuandaa tamasha?.
Competition kwenye biashara ni kawaida wabongo acheni mentality za kijinga. Sasa mtu akija na biashara kama yako na wateja ni wale wale inakuwaje siyo ushindani?
 
Kwa hiyo kila mtu atakayeanzisha tamasha anashindana na Fiesta? au unachomaanisha TZ CMG ndio peke yao wanaruhusiwa kuandaa tamasha?.
Sheria zetu zina encourage ushindani lakini wewe mwenzangu unaona ni dhambi? Mentality gani hii? Kibiashara wasanii wote wanashindana kibiashara, na hivyo hivyo media owners kwa hiyo nikisema WCB media wanashindana na CMG kwenye hili tamasha la fiesta ni sawa!
 
Sheria zetu zina encourage ushindani lakini wewe mwenzangu unaona ni dhambi? Mentality gani hii? Kibiashara wasanii wote wanashindana kibiashara, na hivyo hivyo media owners kwa hiyo nikisema WCB media wanashindana na CMG kwenye hili tamasha la fiesta ni sawa!
Refer kichwa chako cha habari,ndio utaona wewe ndiye mwenye mentality ya kijinga.
 
Refer kichwa chako cha habari,ndio utaona wewe ndiye mwenye mentality ya kijinga.
Kila kitu nimeeleza kwenye content huo ni ushindani wa kibiashara. Kuja na hilo tamasha ni katika kuboresha huo ushindani. Kwa kuwa wewe ni team Mondi unataka kuuhadaa umma kuwa Mondi hashindani huu ni ujuha. Huwa nashangaa sana napoona msanii anasema hashindani na mtu. Nimewahi kuwasikia wasanii mbalimbali wakisema hawashindani na mtu wakati in real sense wanafanya mziki biashara, biashara ni ushindani. Wabongo badilisheni mentality zenu.
 
Back
Top Bottom