Diamond ajisalimisha Polisi baada ya kuvunja sheria za Barabarani

Kumbuka hakwenda mwenyewe ameitwa na kaenda.
 
Jeshi la police linapotumika kutoa kiki kwa msanii.. Toka lini police wameanza kupiga picha na mtuhumiwa aliyeendesha gari bila kufunga mkanda?
Angetakiwa apige picha akiwa ameshika bango la kosa lake kama wengine
 
Hii ni Double standard Wale wengine waliofanya kosa kama lake walipandishwa kizimbani hata dhamana hawakupewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni Double standard Wale wengine waliofanya kosa kama lake walipandishwa kizimbani hata dhamana hawakupewa.
Wale walikuwa wanaendesha public transport ndugu... lile ni bus la abiria.
And by the way dereva alinyanyuka kwenye kiti akaanza kata mauno na wala kosa lao halikuwa kutofunga mkanda kama diamond.
Kosa la diamond ni kutofunga mkanda wakati anaendesha gari.
 





Kumbe kuna zambi kubwa na ndogo[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…