Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Baada ya fununu na malalamiko mengi hatimaye Diamond nae kaitwa kutoa maelezo polisi.
Hata hivyo,bado haijafahamika kaitwa kwa tuhuma gani.
Tetesi ni kwa kosa la kuendesha gari huku akicheza wimbo wa Marry you na kuachia usukani akiwa na familia yake kwenye gari,au tuhuma za madawa ya kulevya zinazomuandama.
Iliwahi kujadiliwa humu na watu kusikitishwa kwa kitendo hicho, zaidi soma Diamond Platnumz akamatwe kwa kuvunja Sheria Barabarani
Swali ni je,Diamond nae atalala kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani kama wenzie?
My take; kama ni suala la madawa ya kulevya basi WCB wengi wana tuhuma za madawa ya kulevya.
Wakiwemo Dansa Mose Iyobo,Queen Darling na Shetta.
Haki itendeke na sio janjajanja za kuitwa polisi na kuachiwa ili kutufunga midomo tuliokuwa tunapiga kelele.
Nifah
=======
UPDATES;
=======
Si kweli kwamba Diamond aliitwa kuhojiwa sababu ya kujihusisha na Madawa ya Kulevya, Bali aliripoti Polis baada ya Video yake kusambaa ikimuonesha akivunja sheria za barabarani.
Haya ndio Maneno aliyoyaandika Diamond...
Leo nilireport kituo kikuu cha polisi wa usalama barabarani kutokana na Vidoe Clip tuliyopost naendesha gari barabarani bila kufunga mkanda na pia kuachia usukani na kucheza.... Nikapewa Onyo na Kulipa faini kulingana ya Mujibu wa sheria... Tafadhali watanzania na Vijana wenzangu...
Tuhakikishe tunafunga mikanda pindi tupandapo na tuendeshapo Magari Maana ni Hatari kwa Maisha yetu na inaweza kukupeleka kunyea debe pia..
Hata hivyo,bado haijafahamika kaitwa kwa tuhuma gani.
Tetesi ni kwa kosa la kuendesha gari huku akicheza wimbo wa Marry you na kuachia usukani akiwa na familia yake kwenye gari,au tuhuma za madawa ya kulevya zinazomuandama.
Iliwahi kujadiliwa humu na watu kusikitishwa kwa kitendo hicho, zaidi soma Diamond Platnumz akamatwe kwa kuvunja Sheria Barabarani
Swali ni je,Diamond nae atalala kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani kama wenzie?
My take; kama ni suala la madawa ya kulevya basi WCB wengi wana tuhuma za madawa ya kulevya.
Wakiwemo Dansa Mose Iyobo,Queen Darling na Shetta.
Haki itendeke na sio janjajanja za kuitwa polisi na kuachiwa ili kutufunga midomo tuliokuwa tunapiga kelele.
Nifah
=======
UPDATES;
=======
Si kweli kwamba Diamond aliitwa kuhojiwa sababu ya kujihusisha na Madawa ya Kulevya, Bali aliripoti Polis baada ya Video yake kusambaa ikimuonesha akivunja sheria za barabarani.
Haya ndio Maneno aliyoyaandika Diamond...
Leo nilireport kituo kikuu cha polisi wa usalama barabarani kutokana na Vidoe Clip tuliyopost naendesha gari barabarani bila kufunga mkanda na pia kuachia usukani na kucheza.... Nikapewa Onyo na Kulipa faini kulingana ya Mujibu wa sheria... Tafadhali watanzania na Vijana wenzangu...
Tuhakikishe tunafunga mikanda pindi tupandapo na tuendeshapo Magari Maana ni Hatari kwa Maisha yetu na inaweza kukupeleka kunyea debe pia..