Diamond akana kumpigia magoti Zari ili warudiane

Hahahaa Mbuguni nilikuwepo 2008 sijabahatika kupata jiwe nikaachana nayo kwa sasa nakomaa na mkaa tu unalipa,mambo ya kukaa chini ya ardhi kutafuta kitu kisichonekana siyataki.

Mkuu King Kong III mi mwenyewe mbona biashara hio nilifanya sana.... mapori ya mwidu, bwawani, lulenge, dunia ya mwisho nimeliwa sana na mbumo.
 
Mkuu King Kong III mi mwenyewe mbona biashara hio nilifanya sana.... mapori ya mwidu, bwawani, lulenge, dunia ya mwisho nimeliwa sana na mbumo.
Mbona umeacha? Au Unafanya mishe nyingine? Mie nakomaa natafuta msingi nianzishe Duka la Jumla na Vifaa vya ujenzi(Hardware).
 
M
i huwa nawashangaa sana wabongo..unasemaje mtu amepishana na furaha?nyie mlishawahi kishi na Zari na Diamond nyumba moja?mlikuwa mnayajua ya ndani kwao au mnajudge kutokana na mnachokiona mtandaoni?...Mvaaji wa kiatu pekee ndo anayejua wapi kiatu kinambana...Leave Dee and Zee alone
 
100% correct
 
Ana kesi na Harmonize?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…