Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kupenda dezoDiamond nae mwanaumeee....aah, hivyo vihela kidogo, wakinadada tunajipanga.
Imetulia sana hii. Wema Jirekebishe haya nimaisha yapo tumwanaume wa ukweli hapokei hela zilizotoka kwa wanaume wenzie bwana..
nimenote hapo unaposema ''diamond nae mwanaumee''Diamond nae mwanaumeee....aah, hivyo vihela kidogo, wakinadada tunajipanga.
hemed kaingiaje hapa maana kama kutunza wema tunamsoma anatunza kila siku...au nae anajifananisha na Diamond nsicheke mie bureKinyamwezi angepokea halafu kama mikausho baadae!hizi ni dalili za wivu diamond kaonyesha cuz kabla wema hajaenda dubai katika show ya PHD alimmwagia sana hela HEMED, mastory yakamfikia nasib!!!hela haisuswi na demu si wa kushindana nae!!mistake kubwa anafanya platinumz