Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
eti nini siri ya mafanikio ya huyu kijana?maana p*ssy maarufu karibu zote za town zinamuunga mkono
Kukata mauno na kuimba kwa kubana pua mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti nini siri ya mafanikio ya huyu kijana?maana p*ssy maarufu karibu zote za town zinamuunga mkono
kimamii naona umefunguka kweli,btw mwanaume hasifiwi sura..tehe!
Angezichukuwa awape madancers wake.its about tym wabongo tuache sifa za kijinga,diamond alienda pale kufanya show na si kupokea vijihela vya wema,alichotaka wema ni kuandikwa tena kwenye magazeti ya shigongo kwamba ana jeuri ya hela,kama alikuwa anataka kumtunza kweli angeweza akamtumia hata kwenye mpesa,big up diamond!
Tuna ushamba wa ajabu sana, hivi kweli ni uungwana huu. Tatizo letu tunapenda kupeana sifa za kishamba shamba kiasi kwamba mazezeta wengi uzibeza, na kujiona wana umuhimu fulani. Yes diamond anaimba na huyo wema kwa kweli i dont know the source of his popularity.
Imefikia hatua wengine sasa tunatumia majina mengine halafu waliosikia hadithi tu wakija kutujua kama ndio akina nani wanashangaa mbona sio kabisa kama nilivyokusikia, Huu upuuzi kwa kweli is enough. Mnawapa watu publicity na ujinga kutokana na tabia zenu za kuongea msivyovijua.
yepi tena mkuu unaanza sasa na wewe. mi nimeongelea tatizo la kuwapa sifa za kishamba watu mpaka wanasahau jinsi ku-behave rightly proffesionally.boss tujuze yaliyoyaukweli mkuu...
Kukata mauno na kuimba kwa kubana pua mkuu!
yaaan huyu mboni masimba anajulina kama malaya wa mjii kumbuka kile kipindi cha etoooo alipigwa picha akiwa nae hotelin hua n kiburudisho cha wanamuziki wanaoletwa nchini hafu anakaaa kushadadia ujinga,,,,,,,,, hafu aka ka jokate kamekua kaswahili, wanasemaga taaarabu ni uswahili ila iyo show ilikua ni zaidi ya uswahili watu walijiandaa kurushana rohoooo, eti waliweka na aina ya mavaz a kuvaa wangesema na khanga pia ili warushane roho vizuriiii
Tuna ushamba wa ajabu sana, hivi kweli ni uungwana huu. Tatizo letu tunapenda kupeana sifa za kishamba shamba kiasi kwamba mazezeta wengi uzibeza, na kujiona wana umuhimu fulani. Yes diamond anaimba na huyo wema kwa kweli i dont know the source of his popularity.
Imefikia hatua wengine sasa tunatumia majina mengine halafu waliosikia hadithi tu wakija kutujua kama ndio akina nani wanashangaa mbona sio kabisa kama nilivyokusikia, Huu upuuzi kwa kweli is enough. Mnawapa watu publicity na ujinga kutokana na tabia zenu za kuongea msivyovijua.
pole mrembo wema,ila ndio uache kudate na men wasioeleweka,jitahidi uwe na proper choice.
yepi tena mkuu unaanza sasa na wewe. mi nimeongelea tatizo la kuwapa sifa za kishamba watu mpaka wanasahau jinsi ku-behave rightly proffesionally.
Usiku mwema.
ka diamond kenyewe kabaaaaya,sijui kanaringa nini?
sahv yupo na proper choice(pedeshee-mme wa mtu)