Hiyo kitu iko mahali yake!Nasubiri mkuu, patiently waiting.mkuu mushi inaelekea jombo umelitamani kiukweli!!!hhahahaa...subiri nifuatilie kwa wadau ntakufahamisha!
sasa jokate huwa anabisha nini? hadi saa hizi bado anakanusha kwamba hakipigi na diamond?
kuna kithibitisho chochote hapo?
Muziki wake...Hilo ndilo lilokuwa relevant at that point and time na syo kwasababu ya mapenzi yao.Dogo kaingiza mapenzi sehemu isiyotakiwa.Ulishasema inawezekana kuna bifu kilichomfanya kunyanyuka kwenda kumtunza ni kitu gani??? .
ndio mie arifu....
Ndiba, ndo "masuper star" wa bongo hao!Kuna watu mnajua kufukunyua maisha ya hawa vijana.!!
sasa jokate huwa anabisha nini? hadi saa hizi bado anakanusha kwamba hakipigi na diamond?
hawa nao kutwa kucha kutengeneza drama tuu dah!
Sitashangaa kama walikuwa wamepanga hivyo ili kupata publicity maana muda mchache uliopita nimesikia Wema atakuwa kwenye XXL ya Clouds kesho.
mmh kumbe na ww umeligundua ilo............
possible kbs yan ili wawe talk of the town April hii lolz!
I can't put anything past those people. They are gluttons for attention and they will stop at nothing in order to get it.[/QUOTE
ndio maceleb wetu hao lolz!
arifu nilikuwepo......dogo ana possibility kubwa ya kuukwaa umeme..maana wale mashori waliokuwa wanamkumbatia lazima wawe na ngoma.....Niaje arif...uko poa? Ulienda Mlimani city Ijumaa?
Kwa hiyo kucheza na Diamond siku ile kwako ndiyo ithibati ya kwamba wanatoka?