Diamond akataa hela ya Wema stejini...

Diamond akataa hela ya Wema stejini...

mkuu mushi inaelekea jombo umelitamani kiukweli!!!hhahahaa...subiri nifuatilie kwa wadau ntakufahamisha!
Hiyo kitu iko mahali yake!Nasubiri mkuu, patiently waiting.

Back to the point hapa, dogo katifuka on the business part of things!

Hivi hana managers na watu wa kumshauri?Kuwa business time is business time?

Huyu dogo ana offer services, bidada ni mteja,angetakiwa kuact accordingly.

Kama yuko na demu mpya, kususa ya kazi gani kama si yeye mwenye matatizo ya wivu na he does not let it go?

Uswahili mtupuu! Biti Mkongwe spare me on this plz!lol
 
Ulishasema inawezekana kuna bifu kilichomfanya kunyanyuka kwenda kumtunza ni kitu gani??? .
Muziki wake...Hilo ndilo lilokuwa relevant at that point and time na syo kwasababu ya mapenzi yao.Dogo kaingiza mapenzi sehemu isiyotakiwa.
 
Pointi nyingine bana, eti hakuna mtu anayemfikia, so irrelevant!
 
hawa nao kutwa kucha kutengeneza drama tuu dah!
 
Huyu demu sawa na ile nyumba nzuri uiliyo jaa majini mpaka haikaliki hata bila kulipa kodi
 
hawa nao kutwa kucha kutengeneza drama tuu dah!

Sitashangaa kama walikuwa wamepanga hivyo ili kupata publicity maana muda mchache uliopita nimesikia Wema atakuwa kwenye XXL ya Clouds kesho.
 
Si angeitupa tu chini...mbona wengi tu wanatunza hivyo? kwani mpaka apokee mkononi!? Jamaa anawajibika ye analeta mashauzi!
 
Sitashangaa kama walikuwa wamepanga hivyo ili kupata publicity maana muda mchache uliopita nimesikia Wema atakuwa kwenye XXL ya Clouds kesho.

mmh kumbe na ww umeligundua ilo............
possible kbs yan ili wawe talk of the town April hii lolz!
 
mmh kumbe na ww umeligundua ilo............
possible kbs yan ili wawe talk of the town April hii lolz!

I can't put anything past those people. They are gluttons for attention and they will stop at nothing in order to get it.
 


Safi sana pesa ahongwe huko kwa kumegwa alafu aje ahonge tena mwanaume aaah hii hata Quruani imekataza
 
Picha hazioneshi kama kakataa kupokea, hawa wanataka kutengeneza tukio waandikwe na kupata nafasi kwenye magazeti na huu mchezo una wachezaji wengi ukidhaminiwa na mmiliki wa magazeti ya udaku
 
Niaje arif...uko poa? Ulienda Mlimani city Ijumaa?
arifu nilikuwepo......dogo ana possibility kubwa ya kuukwaa umeme..maana wale mashori waliokuwa wanamkumbatia lazima wawe na ngoma.....
 
Back
Top Bottom