Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawezi kukataa pesa malaya kwa uzalenfo gani?kama anashindwa kuutunza uchi wake ataweza uutunza uzalendo wa taifa lake!!yule kama Dr.Slaa tu,imemshinda familia ya watu tano,ataweza watu milioni 45.
Mkuu ushahidi ni gazeti hilo hapo unataka ushahidi gani.
Naona sasa wamedhamiria kuchafua nyota ya Diamond! Haya magazeti ya Shigongo ni shidaaa! Huyo Diamond amezikataa hizo fedha kwa vigezo gani? Kila siku anajituma kutengeneza fedha, eti leo akatae kisa zinatoka kwa Lowassa! Haiwezekani hata chembe! Hii mimi naichukulia kama muendelezo wa kumchafua lowassa...
ukisoma ndani usikute sio edo huyu,labda lowasa wa tandale.