Diamond akiendelea kula kuku wakienyeji atakuja kubambikiwa kesi ya ubakaji

Diamond akiendelea kula kuku wakienyeji atakuja kubambikiwa kesi ya ubakaji

Ndoto ya wanaume ni kula vibinti vidogo vya miaka 18-27 hivi. Hao wakina zari washajichokea tu ni masurgery yanakuchanganya.
Wapo mabinti wadogo ila wakishua hawana njaa wamejaa vyuoni
 
Unaacha wanawake kariba ya Zari unaenda kudeti na kuku wa kienyeji asiyemudu hata kulipa kodi ya chumba sebule Tabata.

Mwanamke mjinga asiyejua kalenda zake,mwanamke unatoka nae bongo mpaka South Africa kumbe yuko period hata hajui gharama ulizotumia kwa tiketi ya ndege na hotel.

Kuna siku atakutana na kuku wa kienyeji aliyepangwa mwenye njaa kali apewe kesi ya ubakaji,ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno
Sema watoto wa Elfu mbili mzee ni wa moto.
Kijeba yeyote lazima kashanasa kwa kitoto cha 2000.
 
Diamond anaangalia frequency zaidi ndo anachezea hapo na sio makalio ,ukubwa wala uzuri wa Mwanamke.

Hao Kuku wa kienyeji Kama wanaoandisha frequency zake zinakuwa juu sio rahisi awaache maana yeye mondi anachopambania Kwa sasa ni energy tu na sio umaarufu .
duuuuuh
 
Kuku wa kienyeji hawana kwere. Kwanza wenyewe wana lack of opportunities kwahiyo sijui kama wanaweza kuleta magazijuto.
Ogopa hawa mademu wanaojifanya wazungu na kiingereza chao cha Instagram. Hao ndio wanaweza kukutengenezea scandal ili wapate hela
 
Back
Top Bottom