Diamond akiendelea kula kuku wakienyeji atakuja kubambikiwa kesi ya ubakaji

Ndoto ya wanaume ni kula vibinti vidogo vya miaka 18-27 hivi. Hao wakina zari washajichokea tu ni masurgery yanakuchanganya.
Wapo mabinti wadogo ila wakishua hawana njaa wamejaa vyuoni
 
Sema watoto wa Elfu mbili mzee ni wa moto.
Kijeba yeyote lazima kashanasa kwa kitoto cha 2000.
 
duuuuuh
 
Kuku wa kienyeji hawana kwere. Kwanza wenyewe wana lack of opportunities kwahiyo sijui kama wanaweza kuleta magazijuto.
Ogopa hawa mademu wanaojifanya wazungu na kiingereza chao cha Instagram. Hao ndio wanaweza kukutengenezea scandal ili wapate hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…