Wewe umelala juu ya kifua cha mmeo alafu x boyfriend wako anakupigia simu usiku wakati huo wewe unausotea mtwangio wa mmeo unae mpenda haswa huyu x boi utamfikiriaje?
Huyu dogo kitendo alicho fanya ni ujinga +ushamba+utoto mbaya zaidi kuweka haya mambo kwenye mitandao!
Hahahahahahahahahaha kwani mkiachana ni ugomvi?? ndo makuwa maadui kwani?? khaa mi nilijua kumpigia Ex ni kitu cha kwaida tu sasa ndo hadi kupeana cm demu wako ili aongee na mpiga simu...mhhh makubwa haya. Wengine ni wavaa suruali ila si wanaume.....uswahili umewajaa. Wa tandale ni watandale tu hata umpeleke ulaya bado atakuwa nahangaika majumbani kwa watu kupita kuomba chumvi na njiti za kiberiti
Kwanza mwenye picha ya huyo so called mke wa Diamond atuwekee tusomjua tumuone naona anaona ufahari kujulikana
Acha hizo wewe wakati unampenda ulimpendea kwa vile wa Tandare kwa tumbo? Kwa nn usimpigie simu mchana na unampigia simu usiku munene ukijua fika yupo kuwajibika kwenye kinena cha ampendae.
Akiwa na wengine atanishirikisha? Huyo dada naye hana maana kwa mtu kama Diamond anaona naye ni mwanaume wa kuwa proud off? Kama mimi ningemwambia malizana naye mwenyewe
Huyu dogo kitendo alicho fanya ni ujinga +ushamba+utoto mbaya zaidi kuweka haya mambo kwenye mitandao!
Kwanza mwenye picha ya huyo so called mke wa Diamond atuwekee tusomjua tumuone naona anaona ufahari kujulikana
We Tigo khaa achana na mimi, nshasema diamond si mwanaume.
Si mwanaume kivp? Hadindishi au?
Huyo penny mwenyewe ni muuza punani a.k.a K maarufu hapa town, pia ni full mkorogo, vile vile ni muuza mkorogo maarufu hapa DSM...ukitaka uwe kama mchina au mzungu ni wewe tu. Pyuuuuu
Sio kila anaedisha ni mwanaume. Uanaume ni zaidi ya kudindisha. Kwa uelewa wako uanaume ni mpini kudinda tu? Kumbe wewe ni poyoyo hivyo? mhh ngoja nikuache kwani nshajua wewe ni ile 60% ya mulugo
Sio kila anaedisha ni mwanaume. Uanaume ni zaidi ya kudindisha. Kwa uelewa wako uanaume ni mpini kudinda tu? Kumbe wewe ni poyoyo hivyo? mhh ngoja nikuache kwani nshajua wewe ni ile 60% ya mulugo
Hahahahahahahahahaha kwani mkiachana ni ugomvi?? ndo makuwa maadui kwani?? khaa mi nilijua kumpigia Ex ni kitu cha kwaida tu sasa ndo hadi kupeana cm demu wako ili aongee na mpiga simu...mhhh makubwa haya. Wengine ni wavaa suruali ila si wanaume.....uswahili umewajaa. Wa tandale ni watandale tu hata umpeleke ulaya bado atakuwa nahangaika majumbani kwa watu kupita kuomba chumvi na njiti za kiberiti
bwahahaha mashori wa tz hovyo sana ndio maana mnamegwa na kuachwa.....Huyo penny mwenyewe ni muuza punani a.k.a K maarufu hapa town, pia ni full mkorogo, vile vile ni muuza mkorogo maarufu hapa DSM...ukitaka uwe kama mchina au mzungu ni wewe tu. Pyuuuuu