Diamond akipaka wanja!

Diamond akipaka wanja!

issue sio mapenzi kwa huyo diamond infact huyo nimemjulia humu ndani baada ya watu kumpa shouts humu,nimetembea kwenye nchi za waarabu hilo jambo nikaliona na siku ya kwanza nilishtuka kama wewebaadaye nikafahamu undani wake,wanasema hata mtume MUHAMMAD (S.A.W),Alikuwa akiupaka ku macho yake,angalia siku za Eid uone waislamu wakiume wanavyoupaka ni sunnah!ndio maana nikasema hilo la wanja sio ajabu la ajabu ni la kuvua chupi,nisome vizuri ndio uje na utumbo wako au anaona raha tu kutaype.usikurupuke ni bora ukae kimya kuliko kuongea watu wakaona ujinga wako!

)(*&^%$#$%^&&****it... huyoooo kaunta...😱hwell:
 
65097_489969261043901_339568814_n.jpg diamond akipaka wanja utumiwao na wanawake laivuu
 
cjawah kupenda ushoga na yale yooote yanayoashiria ushoga naomba nitangaze rasmi huyu jamaa nimejivua rasmi kuwa mshabiki wake
 
ni moja ya sifa za masons ..kula 071..,abortion,sacrifice,homosex,lesbian n.k ..ndo hvyo jamani.. our countrymen.
 
Alikuwa anapaka wakati ana shoot video ya nataka kulewa..ukishoot video makeup haiepukiki
 
Location hapo anapaka makeup..kama kuna msanii au presenter ambaye hapaki poda kwenye shooting ajitokeze.
 
huyu dogo ana sura ya kiume sana,..mambo haya angekuwa nanfanya yule hemed phd au ben kinyaiya sawa lakini dogo ana sura ngumu aache usen*e
 
bila shaka alikua anapeleka zigo...
 
Back
Top Bottom