Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
issue sio mapenzi kwa huyo diamond infact huyo nimemjulia humu ndani baada ya watu kumpa shouts humu,nimetembea kwenye nchi za waarabu hilo jambo nikaliona na siku ya kwanza nilishtuka kama wewebaadaye nikafahamu undani wake,wanasema hata mtume MUHAMMAD (S.A.W),Alikuwa akiupaka ku macho yake,angalia siku za Eid uone waislamu wakiume wanavyoupaka ni sunnah!ndio maana nikasema hilo la wanja sio ajabu la ajabu ni la kuvua chupi,nisome vizuri ndio uje na utumbo wako au anaona raha tu kutaype.usikurupuke ni bora ukae kimya kuliko kuongea watu wakaona ujinga wako!
)(*&^%$#$%^&&****it... huyoooo kaunta...😱hwell:
