Diamond akiwa ndani ya private jet akielekea Mwanza

Hapo ndio tunapoona matumizi mabaya ya fedha.je Show ya mwanza itamlipa kiasi arudishe nauli yake.ama ndo yale yale unatumia dola 10000 huku malipo ya show dola 5000

do u think n mjinga kias hicho yan afanye show ya g
hasara kisa??
we unafaham walikua na mkataba gan na waandaaji??usijudge usilolijua
 
kwa hiyo tusitumie picha za diamond. acha ujingaa we ulikuwa wap kuweka habari. kapige mkwara vilaza wenzako

unabishana na huyu standard seven wa shule ya kata...ukitaka kumuweza badili lugha kwenda English uone atakavyotokwa na povu...
 
unabishana na huyu standard seven wa shule ya kata...ukitaka kumuweza badili lugha kwenda English uone atakavyotokwa na povu...

yeah n kweli me standard 7 na english sijui..
ila nina maisha mazuri so what??
 
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..

Dogo jaribu kuwa mpole,lazima kuna sehemu unakosea,angalia ulipojikwaa sio ulipodondokea,kwanini watu karibu wote humu jukwaani huwa wanakupinga
 
Picha ya juu alievaa kofia nyeusi ni Kijukuu Young Daresalama?
 

mi ni mwalimu sasa nikiona the way unavyo comment napata picha akili yako ikoje hv hata hesabu za kutoa unaweza kweli?
 
Kama kakodi jet kwa Tsh 10,958,500 duh sijui atakua analipwa Tsh ngapi per show? Hongera sana Platnumzz
 
[h=3][/h]
[h=3][/h]



Sihamini Diamond kaludiana na wema,domo umebugi wema mwanamke gani anasagana na bongo movie,ametembea na wanaume wa tanzania nzima aibu meeeeeein,nenda kijijini ukaoe hachana na wanawake wa mjini
 
Hiyo show ya mwanza inapigwa wapi mpwa, hata sijaisikia
hunifham..hufaham maisha yangu..huna haki ya kusema me kapuku..
ushauliza maana ya hilo jina na na ni kwa nn nalitumia?wacha kuongea usichokijua
 
Sihamini Diamond kaludiana na wema,domo umebugi wema mwanamke gani anasagana na bongo movie,ametembea na wanaume wa tanzania nzima aibu meeeeeein,nenda kijijini ukaoe hachana na wanawake wa mjini

ucjali ..he will never marry her...
 
Dogo jaribu kuwa mpole,lazima kuna sehemu unakosea,angalia ulipojikwaa sio ulipodondokea,kwanini watu karibu wote humu jukwaani huwa wanakupinga

mti wenye matunda..afu ujue tz wenye shida n weng so wamwonapo mtu hupo step flan zid yao..
hasira zote huhamishia kwake..kwan diamond kakosea nn mpaka baadhi ya watu wamchukie?
 
Hahahaaaaaaaa!! Panado zinahitajika haraka!! Mirembe hiyooo!!
 
mti wenye matunda..afu ujue tz wenye shida n weng so wamwonapo mtu hupo step flan zid yao..
hasira zote huhamishia kwake..kwan diamond kakosea nn mpaka baadhi ya watu wamchukie?
ha ha ha ha ha kijana hujavuka mto bado kuna matajiri wengi walikua na pesa zaidi ya huyo kidampa na wakaishia kwenye umaskini usitukane watu eti umaskini wao unawafanya wamchukie diamond kama unakielewa vizuri kimombo basi msemo huu maarufu ukusindikize katika tafakuri nzito "
"You never know where life will take you!"
 
we kujua akili yangu ikivyo..hainisadii wala kunpunguzia kitu ndugu
uandishi wako tu unaonesha una uwezo mdogo mno wa kufikiri kwakuwa huna vision wala mission inayoonekana kwenye posts zako hapa jf zaidi ya mipasho ya huko kinondoni.
 
ukweli kazi yako siyo mbaya tatizo unajisahau unadhani na wewe ni star wakati ni kapuku, utaanzishaje uzi unakuhusu kwenye jukwaa la celebrities wakat wewe sio, pili mwanaume kujiita kifesi ni dalili za ushoga

hahahahah! jamaa anajiita 'kifesi' siku izi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…