heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Hapo ndio tunapoona matumizi mabaya ya fedha.je Show ya mwanza itamlipa kiasi arudishe nauli yake.ama ndo yale yale unatumia dola 10000 huku malipo ya show dola 5000
do u think n mjinga kias hicho yan afanye show ya g
hasara kisa??
we unafaham walikua na mkataba gan na waandaaji??usijudge usilolijua
