Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

Dully na Chid Benz ndio walitoa siri hiyo kwamba hawataki kufanya show tena nje ya nchi maana majina yao makubwa lakini wakienda nje ya nchi wanafanya show sebuleni kwao waliona ni kama kuwatusi.

Kumbe ndio maana wamebadili kumbi kwa sasa.
 
10645180_792957570726059_971533261137472193_n.jpg


Wadau samahani hivi hizi ndio show diamond analipwa usd 20k kama babu tale anavyosema au ni nyingine? samahani lakini.
 
Sasa yule babu tale kazi yake nini kama manager,coz ni lazima uone ukumbi, ujue time na malipo then ufunge mkataba, yawezekana mikataba yao wanafungia kwenye computer ,kwa email negotiation na picture
 
Sasa yule babu tale kazi yake nini kama manager,coz ni lazima uone ukumbi, ujue time na malipo then ufunge mkataba, yawezekana mikataba yao wanafungia kwenye computer ,kwa email negotiation na picture

Kazi yake ni fitna,hakuna cha zaidi ya hapo
 
Diamond umewavunja watu moyo wamesafiri toka mbali na tren matokeo yake wameondoka bila hata kukuona mr ngololo mweeh
 
Kimewaka Germany Diamond hayupo ni fujo police wako hapa inavyosemakana Diamond ajalipwa kagoma kuja wazungu wamekua wekundu, na walioandaa show wanaigeria inasemekana sio Mara Yao ya kwanza kufanya utapeli aibu sana Afrika(one of my friend amepost
 
Kimewaka Germany Diamond hayupo ni fujo police wako hapa inavyosemakana Diamond ajalipwa kagoma kuja wazungu wamekua wekundu, na walioandaa show wanaigeria inasemekana sio Mara Yao ya kwanza kufanya utapeli aibu sana Afrika(one of my friend amepost

Khe makubwaa
 
Kwa mbali napata picha kuwa Diaspora wengi wana maisha magumu.
 
Amalinze

Hapa ni German au Bukoba, Kuna sura km 3 hapo nawajua ni watu wa Bukoba. Pia mbona black tupu hapa? Halafu kwa nyuma naona km Kuna magari, hapo ni parking? Hata huyu Diamond ni km amesimama juu ya boneti
 
Last edited by a moderator:
amekuwa mtanzania wa kwanza kuimba germany saa kumi usiku
 
Kimewaka Germany Diamond hayupo ni fujo police wako hapa inavyosemakana Diamond ajalipwa kagoma kuja wazungu wamekua wekundu, na walioandaa show wanaigeria inasemekana sio Mara Yao ya kwanza kufanya utapeli aibu sana Afrika(one of my friend amepost

kuna best yangu kaniambia pia wadada walikuwa wanalilia kumshika na kupiga nae picha mabaunsa wa kinaijeria wakawa wanazuia kwa kuwaharass ,Diamond akawazingua wamuache aongee na fans wake,basi ikawa zomea zomea...Mwafrica ata aishi wapi ni yule yule.
 
MTAZAMO

Katika hili Babu tale ukubali tuu unatumia kichwa kufuga nywele!
Huyu Babu Tale sijui kama anajua kazi yake kabisa!

Kwanza huyu Babu Tale alitakiwa kufukuzwa kazi leoleo maana kashindwa kazi na hajui anatakiwa kufanya nini!

Diamond pole sana Una manager anayejua kujipiga picha tuu na Nina kushauri Leo ukae nae umuelekeze ambacho we we hutakiwi kukifanya anatakiwa kufanya yeye!
Diamond una manager mzigo ndio maana hujui kama hata hizo lawama ulitakiwa kumtupia yeye maana yeye ndio anatakiwa kuhakikisha promoter anafanya kulingana na matakwa yako!
 

Attachments

  • 1409494714976.jpg
    1409494714976.jpg
    61 KB · Views: 546
Last edited by a moderator:
Nawashangaa sana watu wanaotukuza Ulaya...na wengine wanaona ni bora kulala njaa ulaya kuliko kula muhogo bongo...Huo ni utumwa wa fikra.

Hili nalo linamuhusu dogo...ameshoboka na show ulaya ...sasa ameona alivyoshusha heshima kwa washabiki wake...na asipoangalia mdogo mdogo ataungana na mr.nyce
 
lipwid

Wala msimlaumu Diamond hili ni tatizo la Babu Tale meneja wake ndio anatakiwa kuwajibishwa!

Sio issue ya kutukuza ulaya Bali kinacho fatwa ni Pesa.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ni German au Bukoba, Kuna sura km 3 hapo nawajua ni watu wa Bukoba. Pia mbona black tupu hapa? Halafu kwa nyuma naona km Kuna magari, hapo ni parking? Hata huyu Diamond ni km amesimama juu ya boneti
Aisee ni kweli bhana hapo ni parking ya magari
 
Back
Top Bottom