Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

wapigwe tu...maana wabongo ni mazoea yao kutokujali muda.
 
Michael Ngusa

Huko ndiko kunusurika kwenyewe, hata mleta mada hajasema kama Diamond kapigwa, ila kasema nusu - apigwe = nusurika. hata kama huyo Diamond alipelekwa kwenye show late, ina maana yeye hakuwa na programme ya show kama ingeanza saa ngapi, kama alikuwa na programme ni kwa nini alikbali promoter amcheleweshe. Mkiambiwa msome, mnasema kuwa mna vipaji mnaanza kuimba mkiwa form 1, mkifika form 2 mnaacha shule. Ukiwa na elimu hata kama umejiajri, inakusaidia kujua jinsi ya kuishi na watu, hata wewe haya matusi uliyoporomosha, nina wasi wasi na uelewa wako,
 
Last edited by a moderator:
Viol huo mtandao flan wa biashara vp ndo ule ule au.
 
Last edited by a moderator:
Huko ndiko kunusurika kwenyewe, hata mleta mada hajasema kama Diamond kapigwa, ila kasema nusu - apigwe = nusurika. hata kama huyo Diamond alipelekwa kwenye show late, ina maana yeye hakuwa na programme ya show kama ingeanza saa ngapi, kama alikuwa na programme ni kwa nini alikbali promoter amcheleweshe. Mkiambiwa msome, mnasema kuwa mna vipaji mnaanza kuimba mkiwa form 1, mkifika form 2 mnaacha shule. Ukiwa na elimu hata kama umejiajri, inakusaidia kujua jinsi ya kuishi na watu, hata wewe haya matusi uliyoporomosha, nina wasi wasi na uelewa wako,

Sure Mkuu!!,huo ndio ukweli ingawa ni mchungu
 
Kweli tatizo ni promota ila promota akisema show inaanza saa moja asbh je ?Huu mtazamo sio kwamba namuhukumu Diamodi................
 
Please correct me if I am wrong: Kufuatana na picha na habari nawakilisha:
1. Nchi nying za ulaya mambo ya disco na concert yanaisha saa tisa
2. Pia bar nyingi zimafungwa muda huo ila kuna zile after party.
3. jamaa zetu wapo very attentive na vitu vya usalama: hapo sioni fire exits nk.
4. Jee ukumbi huo hauna stage? Au picha imepigwa toka stage? Wewe uliingia lini ukumbi wenye low ceiling kama hii kwa ajili ya music?
5. Ina Maana huu ni ukumbi wa kanisa/ mikutano ila watu wameugeuza kuwa wa disco/concert? Siamini kuwa watu wa Germany watakubaliana na hivyo.
Conclusion: something fishy on this news, au ni kick up ya watu hapo.
 
Alidhani anaenda kutumbuiza DAR LIVE!!
 
Limit ya muda sio kweli, club zinaweza kwenda mpaka majogoo inategemeana na kibali cha na nyingi zina kibali hicho,
Kuhusu stage kwani Hiyo picha ni ya ukumbi wote? What if mpiga picha alikuwa kwenye stage? Umeuliza maswali weak bmpingo
 
Last edited by a moderator:
Hata Hiyo hao ni wanigeria, sidhani Kama ni wabongo, wanigeria kwa kiasi furani wakiwa kwenye nchi za watu sio waoga maana wanajua Haki zao , wabongo wanaogopa sana kurudishwa home , hivyo ni nguvu kuanzisha noma
Asante Stutgart. Aliwahi kufanya hivi London machoko wenzake wakamshangilia tu.
 
Dalili za umr nice kumnyemelea domo kwa mtindo huu soon tutakuwa naye bar akigongea bia kama sigara
 
Huyu dogo amatuaibisha sana juzi usiku alikua anatakiwa kufanya show stuttgart show iltakiwa ianze saa 4 usiku ila dogo sijui alikua anachat na dem wake watu walisubiri dogo akaingia saakumi usiku akidhani hapo ni tansdale baada ya kuingia tu ukumbini watu na hasira wakaanza kupiga fujo piga viti na kuharibu kila ktu na kupiga ma dj kwa hasira maana walitoa ela zao ila show ikachelewa kuanza dogo poilisi wa stuttgart walimsave bila hivyo na yeyey ange pigwa
 
Hapa taifa haliwezi kuingia huyo mtu kaenda kivyake taifa linaingiaje hajatumwa na taifa samahani bwana mwache na ujinga wake kazoe mambo yake ya kitoto na wema sepetu.
 
Back
Top Bottom