Diamond alamba mamilioni ya CAF, Kutumbuiza uzinduzi wa AFCON 2017

Hapana chezea Platnumz. Kibwabwa sio level zake hizi.
 
Hangera zake bhana[emoji122] [emoji122]
Diamond sio wa kisport sport me binafsi shabiki wake najua jamaa atapiga show ya ukweli sana hajawai kuaribu show zake
 
Diamond sio wa kisport sport me binafsi shabiki wake najua jamaa atapiga show ya ukweli sana hajawai kuaribu show zake
Hata mm namkubali sana diamond niko tayari kupigana kwa ajili yake kama kuna mtu anataka kumdhihaki, halafu yuko vizuri anajituma japokuwa ana mapungufu ya hapa na pale ya kibinadamu kama tulivyo wote lkn jamaa ni msanii bora afrika kwa sasa Mungu kamwinua hakuna wa kupingana na Mungu
 
Ni matunda ya kua na management nzuri.Pia Kua ukanda ambao yeye anafanya vizuri kuliko wengine.Ukiigawa Africa kwa maana ya zones(East,West,North,South) inakua rahisi kuonekana.King frm East.Hard work pays..keep it Chibu.
 
Hongera yake, cha msingi aongeza juhudi zaidi
 
Hongera zake dahh kwa kweli wcb wako vizuri
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…