Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

Hili dole must av the meaning bcaz most people with fame,wamewahi kutake photo za namna iyo..?!


Yeah it has a meaning, a lot of them actually. It could simply be, 'get off my biz/D', 'Go screw yourself', 'eat a D, or suck one', and a lotta other offensive & negative meanings, it just depends on the context.
 

Hahahaaa nje ya Bongo ipi?
 

Nisaidie maana ya Msanii kuwa Kioo cha jamii.

Halafu mzazi ashindwe kufurahia mafanikio ya mwanaye aangalie hilo moja baya alilolifanya? Anyway nisaidie kujibu hilo la swali la kwanza.
 
Diamond ajafika umaarufu wa Lucas aka mr nice lkn Leo hii you wapi? Juma nature, ay, fa, jaydee, pr j, na ze like wapo kitambooo na hadi Leo media zinawazungumzia bado wana hit yani koz ni wana nidham na kazi zao ni hawaendeshwi na mihemko ya mashabiki ila sasa huyu jamaa yy anaona ataheat time zote mi namwambia hivi dayz ar counted mtasikia pyuuuuuy!!!! Kazikwa katupwa kule, ashukuru media bdo zinambeba. Wako wapi akina rihanna pamoja na kuvuma kimziki je hadi sasa anaheat tena yy ni wa kimataifa zaidi. Mi nawaambia hivi atakae dumu milele watakao dumu kuheat milele ni SIMBA NA YANGA.
 
Nisaidie maana ya Msanii kuwa Kioo cha jamii.

Halafu mzazi ashindwe kufurahia mafanikio ya mwanaye aangalie hilo moja baya alilolifanya? Anyway nisaidie kujibu hilo la swali la kwanza.

Tunaposema kuwa msanii ni kioo cha jamii tunamaanisha kuwa msanii akiwa kama mwanafasihi ana jukumu la kuelimisha, kuonya na kufundisha....lakini vile vile kama msanii ataitumia vibaya taaluma yake basi ataipotosha jamii....
Leo hii tunashuhudia watoto wadogo wakikopi na kufatisha kuimba mashairi ya kipuuzi ya wasanii wapuuzi....ambayo hata kwa akili ndogo utagundua kuwa yanapotosha jamii baada ya kuelimisha.....refer msanii anaimba akisifia pombe na ngono....unadhani inaleta impact gani kwa jamiii....??
 

mbavu zangu mie dadaake wa jamii forums labda, acha hizo Shark


acha awape lililowahusu, #watanyooka tu. kwani yeye sio binadamu kama sie wengine.

anaishi toka umasikini na kuuza mitumba barabarani wapate kura amsaidie mama yake pia

  • leo kapiga kazi bila shoti kati watu wanamuonea wivu tena mtoto wa uswahilini na wao eti wazungu na kula.lwa nae walila.lwa amezidi kupaa kampata mpenzi anayempenda wivu unawaingia kutoka kila kona na wa maendeleo yake wanataka ashuke...fikiria ingekuwa nani hapa duniani angefurahia hayo na kukaa kimya

Mwanamke mmoja mange kuuza tu lipstick akaona mwingine wa nchini anauza alilalamika sana eti wanamwaribia biashara yake ka vile yeye ni muuzaji pekee kwa kusaini makaratasi kuwa mwingine asiuze akalia na kutukana sana sasa ndio uchungu hata wa kutafuta pesa ya maziwa ya watoto iko hivyo

haya turudi kwa Chibu na juhudi zake na anakaa kila kona mitandaoni akiingia wana mtagi aone kuwa yeye hawampigii kura wanapigia wa nchi za nje...nani hakitamkuna rohoni hapa duniani

wamwache hawape dozi maana mtoto wa Tandale sasa ni levo ingine kabisa kawazidi

hilo dole kama mtu anamchukia basi kalipata, kama mtu ana roho nyeupe nae basi atacheka kama mie

msemo mpyaa huu
kunya anye kuku asinye bata, hayo maneno machafu wenyewe waliyataka

wengi sana hawakutetea wala kusema juu ya yaliyomparamia na kukejeliwa, kachukua tuzo kila mtu mwalimu wa nidhamu sijui profesa wa kumshauri mdomo wake na wale waliopiga kampeni asivotiwe bali wavotie wa nje hawakuwakashifu.

na dole hilo linaklomuhusu alilambe kabisa

msisahau kumpigia kura ma kategori kibao
 
Last edited by a moderator:
Wapi juma nature kassim kiroboto.....ndio msanii aliyewika ila hakuwa na nyodo wala kulewa sifa...
 
 

Sasa nani kasema atahit milele,? topetope kweli wewe.
 

Wewe hujui unachoongea kama hawo uliowataja wangekua maaarufu sana basi dunia nzima ingewajua but hawajulikana hata Bumbuli hawamjui jaydee hahajaha ndo nani.
 


samahani naomba uniite kwenye ulipoandika kukemee tabia ya wivu wa wananchi wakati wanafanya kampeni asipate tuzo na pia kujaribu toka kila kona asipae kimuziki bali ashuke. au hata kuwaomba wasanii wasapotiane.

hilo dole litawagusa wanaojua ni hawampendi na wana wivu.

wa jamii tena, miaada anayotoa uhauioni hata anayoanzisha sasa

we niambie wapi umemtetea nikasome kwa furaha yangu, maana hilo dogo maneno yake si utachoka kabisa ya mswahili huyu.
 

Acha umaskini wa mawazo weweee

Davido nae mwezi uliopita amemaliza degree yake ya kwanza na amewapiga dole.. elimu gani unayosemea??

HIYO SPECIAL KWA MABOYA WOTE UKIJIHISI UJUE LAKO
 

Acha hulka za ajabu angekuwa hapendi kuwe na int artist

... angempa pande shetta kwa kcee??
... angempa pande fid q kwa sarkodie??
... angewashootia video kwa gharama zake yamoto kwa godfather?
... angempa chege pande kwa runtown, na uhuru??


KILA mtu anamoyo na ni bora uyatoe hadharani na sio unafiki.. UNAONA MTU ANAFANYA KILA KITU ILI AKUPUNGUZIE KASI KWANINI USIMPE VYAKE?? HUONI WABUNGE BUNGENI WANACHOFANYA WAKINA MWIGULU ???





MTANYOOKA TU
 
Nilikuwa nasubiri utoe jibu kama hili, nimekujibu simple Tumeona na tumesamehe je ulitaka tumnyonge?
#Nilikunatakakuelewadhamirayakokatikahili !

Sasa nazan umeingia nlipopakusudia kama kaona ni kosa alitakiwa yeye ndo aombe msamaha kwa rais kikwete anaemuaibisha na kwa wananchi kwa kutukana hadharani. Kwa mfano ukikutana na mtu ambae mama yako anamheshimu sana akifanya upuuz kitaani utajiskiaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…