Diamond, Ali Kiba na mtu wa tatu

Diamond, Ali Kiba na mtu wa tatu

Dimpoz ni kweli alikuwa na potential ya kuwa 'Top Player' kwa kipindi kile, ila tokea alipotoa Wanjera Graph yake ikaanza kushuka. Ben Pol ni msanii mkali ila hana potential ya kuwa Top Player kwenye muziki
BEN PAUL HAJIAMINI KAMA ANAWEZA MZIKI WA USHINDANI KAMA WA MOND NA KIBA!
OMMY NAONA KAMA KARIDHIKA FULANI VILE
BUT ALL IN ALL
VANESSA MDEE SIYO WA MCHEZOMCHEZO
 
BEN PAUL HAJIAMINI KAMA ANAWEZA MZIKI WA USHINDANI KAMA WA MOND NA KIBA!
OMMY NAONA KAMA KARIDHIKA FULANI VILE
BUT ALL IN ALL
VANESSA MDEE SIYO WA MCHEZOMCHEZO
Vannesa anajitahidi lakini siwezi muweka no 3, maana sioni kama kibongobongo anafanbase kubwa. Je anaweza kuandaa show kwenye ukumbi wa pekeyake akakusanya watu 500? Nadhani Lady Jaydee bado yuko juu yake maana anaweza kuandaa show yake hapa bongo, kenya au hata uganda na akajaza raia. Muziki unahitaji uwe na 'unyama' flani hivi ili uweze kuwa Top, kwa upande wa Ben Paul hana hicho kitu so hata aimbe vizuri vipi ni ngumu kuwa on Top, Ommy Dimpoz angeweza kutusua asingebweteka
 
Niliposoma swali kwenye title yako, nilifikiri unamaanisha mtu nyuma ya bifu yao, Mara nyingi issue kama hizi huwa zinatengenezwa kwa manufaa ya kibiashara zaidi, panaweza kuwa hakuna tatizo wala uhusiano mbaya kati ya watu hawa wawili, lakini panatengenezwa issue kuwa hawaelewani ili kuweka majina yao katika midomo ya watu na kutengeneza team za kiuhasama kwa lengo la kibiashara.

Mara nyingi washabiki na wana team wanakuwa hawajui lolote nyuma ya pazia, mtu anaweza mpenda mmoja wao sababu tu eti yule mwingine ana maringo, wengine utasikia mimi napenda tu mziki wa fulani bila kujali ubora wala umahiri katika kazi, Nilisikia mwingine akisema " Mimi nampenda fulani kwasababu tu ni mpiganaji na mbunifu katika maisha". Mwingine anampenda fulani kwa uvaaji wake tu, Mwingine kwa muonekano wa mwili wake tu.

Siku bahati mbaya ikatokea watu hawa wawili wakakutwa pamoja wakicheka na kufurahi pamoja au wakaamua kufanya kazi pamoja, huu ndo utakuwa mwisho wa kambi zao mbili na mwisho wao hao wawili utakuja haraka sana. Kazi ya mtu wa tatu( invisible person) ni kuhakikisha hali inabaki kama ilivyo kwa gharama yoyote, wana habari wamekuwa wakitumika bila kujua katika kufanikisha haya.
Huyo mtu wa 3 unamjua ww?
 
Baraka yupo chini ya uongozi mmoja yeye na Kiba, Rock star......Abdul ni ndugu yake Kiba wa tumbo moja hivyo kuna ukaribu mkubwa.
Asante nimekuelewa,basi kiba hao sio "vijana wake" ila mmoja ni mwenzake wa Lebo moja, na mwingine ni ndugu yake wa damu na hayupo chini ya usimamizi wake.
 
Vannesa anajitahidi lakini siwezi muweka no 3, maana sioni kama kibongobongo anafanbase kubwa. Je anaweza kuandaa show kwenye ukumbi wa pekeyake akakusanya watu 500? Nadhani Lady Jaydee bado yuko juu yake maana anaweza kuandaa show yake hapa bongo, kenya au hata uganda na akajaza raia. Muziki unahitaji uwe na 'unyama' flani hivi ili uweze kuwa Top, kwa upande wa Ben Paul hana hicho kitu so hata aimbe vizuri vipi ni ngumu kuwa on Top, Ommy Dimpoz angeweza kutusua asingebweteka


nakubaliana nawewe na Mimi ni shabiki no 1 Wa komando jide , japo kibongo Vanessa hawezi jaza ukumbi wala kumfunika Jide lakini kimataifa hasa huko West Africa au south Africa baada ya jina mond na kiba jina linalofuata ni Vanessa Mdee na kuna kipindi ilifikia Diamond na Vanessa wanawakilisha East Africa Kwa upande Wa me na ke

Hao kina Ben Paul , rich mavoko , navy kenzo etc bado hawana majina nje ya nchi ukilinganisha na Vanessa .

Na ndo maana hata majuzi walipomtuhumu ametoka na treysongs akawajibu kwamba amemfahamu trey songs tangu Vanessa akitangaza MTV
 
afande%2Bsele.jpg
 
1. ALIKIBA
2. DIAMOND
3. WEMA SEPETU
Hawa ndo wamemake headlines kila kona ya Africa Mashariki na nyota zao kali sana,kuwashusha ni vigumu sana sehemu walipo kutokana na nguvu ya ushawishi waliyonayo
 
Back
Top Bottom