cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Yes im stupid like ur stupid momU sound more like "a stupid woman"...... My mother showed me strong, its nothing like u......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes im stupid like ur stupid momU sound more like "a stupid woman"...... My mother showed me strong, its nothing like u......
Takataka kabisa wewe.... Tena usilete unafiki hapa. Hapo ulipo kuna mtu anakukula sababu ya kukupa pesa ya vocha...... Kwann mademu wa bongo mnakuwaga wanafiki hivi ndio maana mnachezewa sana.... Hebu tupishe huko fala wewe...Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki
Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wake
Labda over my dead body
Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
Anatuektia huyu.... Mimi sijakutana na binti wa kitanzania mwenye ustaarabu na pesa. Wote ni walafi wa kutaka pesa za kupewa bila kutafuta...Hapana mapenzi ya sasa bila pesa hayanogi.
Umeona shilole alivyomuaibisha uchebe kisa ni nini? Pesaaa
Kwenda zako.... Nenda kwa chibu pale tena wewe utapigwa mimba hata tatu mfululizo.... Na hizo akili za kukataa hautakuwa nazo. Kwan zari wewe unamchukuliaje?!Mimi nashangaa wanaovulia chupi Hadi kumzalia watoto kabisa I thought zari was smart enough kumbe na yeye walewale tu anakuwa umri tena kamzalia chap chap ili amkamate, tena Bora sikuhizi huyo diamond kiki zake za wanawake na kuzalilisha watu wamezichoka na kuona kawaida.
Na hao wanaume wanafikiria pesa ni kila kitu kwetu sisi wanawake wanakosea Sana life is more than fame and money
Kama ndio huyu hatutishi......
Wewe ni mnafiki... Kuna nyuzi nyingi huwa unaponda sana mwanaume asiye na pesa nakushangaa leo unakerekwa na wenzako wanaoliwa na diamond kwa kufuata pesa zake..... So wewe msimamo wako upo wapi shuwaini mkubwa....Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
I'm not a toxic feminist na hujui hata maana ya feminism, ngoja nikuwekee ujue, maaana unachaganya madesaHa ha ha ha ha ha ha unajua mjinga huwa anajiona mwerevu hata akishtukiwa atabisha bado.....
Wewe ni toxic feminist na huwa hamna mwisho mzuri. So enjoy your toxic nature while diamonds anamla mwanamke anaejielewa nini anataka ha ha ha ha ha...... Hapo kuna liwivu limekukaba kooni unatamani diamond akupigie simu but ndio hivyo tena wewe ni kama punje ya sukari katika bahari, hauonekani na hauna impact kwenye bahari....
Msanii tu huyo hana lolote ni. Mdangaji aliyekosa fursaHapa naona mnamaanisha kwamba unachotaka ni mikazo tu sio pesa
Unafaa sana Nina kibanda kimoja
Utanikubali? No way haiwezekani
Hahaaa una hasira umevurugwa loh, kunywa majiTakataka kabisa wewe.... Tena usilete unafiki hapa. Hapo ulipo kuna mtu anakukula sababu ya kukupa pesa ya vocha...... Kwann mademu wa bongo mnakuwaga wanafiki hivi ndio maana mnachezewa sana.... Hebu tupishe huko fala wewe...
Mwongo mkubwa wewe....Si kweli wanawake tunapenda wanaume wanaotujali hisia zetu na kutusikiliza ingawa hela muhimu Ila ukiwa na mtu na mijihela yake hakusikilizi ni rahisi kumwacha aisee.
Nenda wewe umupelekee kijambio chako, maana unafikiria wote tunawaza ka wewe akitoka kukugonga wewe mupelekee dada zako, maana inaonyesha kwenu ni cheap Hadi mnatweza utu wenuKwenda zako.... Nenda kwa chibu pale tena wewe utapigwa mimba hata tatu mfululizo.... Na hizo akili za kukataa hautakuwa nazo. Kwan zari wewe unamchukuliaje?!
Aaaaah sasa mizaha ya kutajiana mama tena huko ni kukosa adabu.Mama ako sio demu?
Kubali umekosea ndugu, katika wanawake 20m TZ hauwezi ukasema wakitokewa na diamond lazima wakubali
Umekosea sana
Umepofuka kwa mahaba
Wewe umezoea kugonga kimasahara tena wale vichaa sasa usifikirie wanawake wote ni ka hao vichaaWadada naona mpo nyuma ya Keybod mnashupazaa shingo kinyamaa kuwa hampendi hela eti mnachoangalia ni mapenzi ya kweli...!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] endeleeni kuchangamsha gengee.
Hahaaa una hasira na umevaa miwani ya mbao na hauwezi kuona kamweMwongo mkubwa wewe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yellow eyes Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa Nina urafiki wa kawaida na huyo mwanamke alikuwa ana maneno ya busara alikuwa mtu ambaye anaonekana sio mtu ambaye anapenda hela kupitia maneno yake kiasi ambacho nikavutiwa nae alikuwa anapigo kama za huyo cariha ila baada ya kuwa na uhusiano nae alinipiga vizinga mpaka nikajiuliza ndio huyu kweli? Tokea hapo nikajua asikuambie mtu mapenzi Ni pesa hayo maneno ya cariha yasikusumbue hiyo Ni technic tu wanaotumia Hawa dada zetu kukamata wanaume.
Extrovert
Kanatombeka haka tena vizuri ila me nina wasi wasi hata kama kana mvuto maana kana roho kavu kama mti wa dawa....We nae umetuchosha na neno lako "type" type, type, we kwa mfano una nini cha ziada kuwazidi wanawake wengine, we utabaki kuwa mwanamke tu na wanawake wote n dhaifu, umkatae mondi wewe?
Sema chance ya kukufikia wewe ni ndogo mno, almost negligible, una umaarufu gani wewe mjini had useme mond hana hela, rubbish kabisa, acha wenzio wafaidi kama type yako ni kama kina gwajboy etc bas kausha usitufokee!!
🤣🤣🤣🤣🤣Woman's pride wapi mzee huyu manzi me huwa namtrack kwenye nyuzi kibao anaponda wanaume watafutaji leo kaja kivingine kuwa eti diamond sio type yake.... Sasa najiuliza yeye type yake hasa ni ipi.
Maaana wanaume watafutaji anakwambia hawafai, haya diamond ana hela nae hafai... So yeye type yake ni ipi, au ni lesbian huyu dada....?!
Me nina hamu nikajue maana kanapenda kuongea pumba.... MsyuuuuuuHiki kidemu ni kibaya jamani hakana chochote trust me ukiona hata picha yake unaweza tapika. Hakana nuru kembamba sasa ukiona comment zake humu aseeeeee.
Daah nina heshima sana uwepo wako hapa jf.Diamond Hana hela yoyote huyo labda umaarufu na Mimi ni tofauti na hao wanawake wengine, to me fame or money sometime sio my priority,most hupenda kufanya Mambo ninayojiskia na sio kuwa influenced na kitu flani,kitu kinachonipa furaha ndio nafanya failure to do so I can't my dear, honestly speaking