Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Huyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wapo wanaoweza kumkatataa hata CR7 Ronaldo sema inategemea na sababu kadhaa kadhaa, kwenye mijadala usiwe unatumia hakuna, ukiwa unazungumzia watu
 
Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
Ha ha ha ha ha ha ha dah ila umasikini ukianza kuingia kwenye damu inakuwa kitu kibaya sana especially kwa mtoto wa kike... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatari sana, ngoja nikasake pesa na mimi niwe CEO maana kama hakuna reincarnation kweli wengine tutakuwa tumepata hasara maishani.
Ww cheza na mabek tatu tu wanakutosha keep your lane.....
 
Feminist has nothing to do with preferences my dear, wewe kupenda Jambo flani haihusikani na lolote it's just what you want I don't hate diamond as you used kuchukia basi tu kila mtu na aina ya watu wanaopenda kulingana na chemistry na kiupaumbele that's all. Don't blame feminist to even what we like and don't like
Ha ha ha ha ha ha ha unajua mjinga huwa anajiona mwerevu hata akishtukiwa atabisha bado.....

Wewe ni toxic feminist na huwa hamna mwisho mzuri. So enjoy your toxic nature while diamonds anamla mwanamke anaejielewa nini anataka ha ha ha ha ha...... Hapo kuna liwivu limekukaba kooni unatamani diamond akupigie simu but ndio hivyo tena wewe ni kama punje ya sukari katika bahari, hauonekani na hauna impact kwenye bahari....
 
Mimi dada wa kawaida mubovu mubovu huwezi amini but najiamini Sana a strong woman
U sound more like "a stupid woman"...... My mother showed me strong, its nothing like u......
 
Hata obama alitokea maisha ya uswazi... Unamuona alivyo leo....?!

Hata huko marekani hao watu wenye pesa 80% wanatokea maisha ya njaa ya hatari ila leo wanasalio la nusu na robo ya bajeti ya nchi wewe unatuambiaje?!
Hauko serious obama katoa uswazi ipi huko Marekani, unawezaje kumlinganisha Obama akili kubwazi na watu wa huku uswazi haya si matusi makubwa, ku compare situation ya Obama na mazingira yetu ni sawa na kulinganisha mbingu na ardhi halo
 
Hii dunia ukikosa pesa utasumbuka sana..anyway ngoja niendelee kuzisaka kama Laiza
Try bank robbery......!!!
you might get rich quickly....
also you can die faster as well...!!
acha tamaa........
cheza na urefu wa kamba yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom