cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hahaaa makubwa huu msonyo vepeeMmmmmmhmn msyuuuuuuuuu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa makubwa huu msonyo vepeeMmmmmmhmn msyuuuuuuuuu.....
Nadhani hatuelewani mbona unaenda kinyume nyume, ya mambo ndio nilitaka kuonyesha jinsi cycle hyo ilivo so usifikiri wote wanahongwa Mana maendeleo sio sexual transmitted useme angepataKumbe umekiri mo alimpiga miti Hamisa mobetto mbona umeshajileta kwenye hoja yetu teyali
Huyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mademu wa siku hizi wakiskia una pesa utaskia bebi unacheka kama mfalme sulemani
Tutafute ela wakuu
Ha ha ha ha ha ha ha dah ila umasikini ukianza kuingia kwenye damu inakuwa kitu kibaya sana especially kwa mtoto wa kike... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
Ww cheza na mabek tatu tu wanakutosha keep your lane.....Hatari sana, ngoja nikasake pesa na mimi niwe CEO maana kama hakuna reincarnation kweli wengine tutakuwa tumepata hasara maishani.
Ha ha ha ha ha ha ha unajua mjinga huwa anajiona mwerevu hata akishtukiwa atabisha bado.....Feminist has nothing to do with preferences my dear, wewe kupenda Jambo flani haihusikani na lolote it's just what you want I don't hate diamond as you used kuchukia basi tu kila mtu na aina ya watu wanaopenda kulingana na chemistry na kiupaumbele that's all. Don't blame feminist to even what we like and don't like
Usidhani tunafanana mkuu we kama ndiyo fantasy zako fresh kazanaWw cheza na mabek tatu tu wanakutosha keep your lane.....
Angalia asije kukukazia na mkeo...Badae nakuja kutoa tamko Aiwezekani Amemchukua Tanasha nimemkashia Bado tena anatka kumchukua.....!!
Aaaaaahh!!! Aiwezekani but All in all ...
Hata obama alitokea maisha ya uswazi... Unamuona alivyo leo....?!Kwa a tandale boy like serious!?
Ni ww huyo.....Usidhani tunafanana mkuu we kama ndiyo fantasy zako fresh kazana
U sound more like "a stupid woman"...... My mother showed me strong, its nothing like u......Mimi dada wa kawaida mubovu mubovu huwezi amini but najiamini Sana a strong woman
Watu mna matusi balaa....hahahaaaSio la kuuliza hilo hata Dada zake wakiitwa na mkurugenzi wanaweza kwenda hawajavaa hata chupi ili mkurugenzi asisumbuke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama yangu anahusika vipi hapa mbona unakuwa kama hutombwi
Kama we unamtaka usifikiri ni kila mwanamke, hutaki kunya boga[emoji57]Sizitaki mbichi hizi
Eti kama hutombwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama yangu anahusika vipi hapa mbona unakuwa kama hutombwi
Sio kweli hata kidogoWengi wanaovuta bangi kistaarabu wana akili sana
Hauko serious obama katoa uswazi ipi huko Marekani, unawezaje kumlinganisha Obama akili kubwazi na watu wa huku uswazi haya si matusi makubwa, ku compare situation ya Obama na mazingira yetu ni sawa na kulinganisha mbingu na ardhi haloHata obama alitokea maisha ya uswazi... Unamuona alivyo leo....?!
Hata huko marekani hao watu wenye pesa 80% wanatokea maisha ya njaa ya hatari ila leo wanasalio la nusu na robo ya bajeti ya nchi wewe unatuambiaje?!
For me it goes with action[emoji123]Talk is cheap
Try bank robbery......!!!Hii dunia ukikosa pesa utasumbuka sana..anyway ngoja niendelee kuzisaka kama Laiza