Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FEdha ni kitu ingine......hapo ulipo unatamani maisha mazuri .....pemgine na umaarufu.....mademu woote wa Mondi wamekuwa maarufu na wana pata madeal ya ubalozi kwenye bidhaa mbalimbali, nk nk....hivyo hakuna atayeweza kuchomoaWanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
mkuu wanavojitoa akili hapa utadhani wapo serious kivile, alafu ukute wanaojishaua ni vimeo tu hawafiki hata robo hadhi na uzuri wa akina zari, mobeto na tanasha na nk... alotoka nao mwamba, nachojiuliza sijui zao zina tv ndani hadi wajishaue kiasi hiki😀😀😀all the way to madale for just swimming??
lakini pale maji marefu bana hakuna anaechomoa kabisa mialiko hii inapendwa na dada zetu
noma sana jomba sijui kipi hasa kimekwamisha kote huko pamoja na ulimbwende wote ila wahenga walisema kwamba "Pata pesa tujue tabia yako"mkuu wanavojitoa akili hapa utadhani wapo serious kivile, alafu ukute wanaojishaua ni vimeo tu hawafiki hata robo hadhi na uzuri wa akina zari, mobeto na tanasha na nk... alotoka nao mwamba, nachojiuliza sijui zao zina tv ndani hadi wajishaue kiasi hiki
Sijanyanyapaa mtu nyie wenyewe ndio mnajinyanyapaambona unatunyanyapaa sana sisi watandale
Umeshasema wapenzi wa diamond and not me na madeal gani wamepata ya maana, Don be fooled with ig fake life.FEdha ni kitu ingine......hapo ulipo unatamani maisha mazuri .....pemgine na umaarufu.....mademu woote wa Mondi wamekuwa maarufu na wana pata madeal ya ubalozi kwenye bidhaa mbalimbali, nk nk....hivyo hakuna atayeweza kuchomoa
We mnduku usilazimishe mimi nimesema wewe nani uniforce?Takataka kabisa wewe.... Tena usilete unafiki hapa. Hapo ulipo kuna mtu anakukula sababu ya kukupa pesa ya vocha...... Kwann mademu wa bongo mnakuwaga wanafiki hivi ndio maana mnachezewa sana.... Hebu tupishe huko fala wewe...
hawa wanaobisha hapa wakiwa nyuma ya kibodi wanasogeza muda tu maana sidhani kama wanamaisha hata ya kuwakaribia madem alotoka nao mondinoma sana jomba sijui kipi hasa kimekwamisha kote huko pamoja na ulimbwende wote ila wahenga walisema kwamba "Pata pesa tujue tabia yako"
kwa sasa sisters walio wengi macho yao kwa wallet tu ukiwa nazo unajishindia kama bingo
Ni kweli Mimi hovyo Kama mama yako alivo Yani, sura ka ngiri vile[emoji23][emoji23][emoji23]Ningetamani kukuona tu hata sura yako namna ilivyo,Unaweza kukuta ni demu wa ovyo kishenzi.
Hahahaaa, kweli bibie, unaonekana upo smart on mind and appearance, hahahaaaSijajisifia nilikuwa natoa clarification jua Basi kutofautisha Mambo alla, unajua maana ya kitu full package?
Msinichoshe Mimi na Mambo yenuHahahaaa, kweli bibie, unaonekana upo smart on mind and appearance, hahahaaa
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 🤣 🤣 haya bhana. Wataacha kukuchoshaMsinichoshe Mimi na Mambo yenu
Yani nyie[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] haya bhana. Wataacha kukuchosha
Tumekupenda wenyewe, BUREEEE kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣Yani nyie
[emoji23][emoji23]Mimi sipendagi kunipenda Mimi ni sawa na kukumbatia mzinga wa nyukiTumekupenda wenyewe, BUREEEE kabisa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mbona la kawaida hilo. Tunakumbatia mzinga na asali inabebwa kama kawa. Depends na mavazi unayoendanayo kukumbatia mzinga wa nyuki. unavaa NYUKI PROOF attire 🤣 🤣[emoji23][emoji23]Mimi sipendagi kunipenda Mimi ni sawa na kukumbatia mzinga wa nyuki
mkuu mbona hapo hata sijaquote? au leo upo na mood ya michambo? ujue kutofautiana mitizamo katika mjadala ni kitu cha kawaida hivo hakuna haja ya kutoleana maneno mabovu.
tunachozungumzia wanaume hapa ni vile wanawake wa sasa wanaendekeza zaidi pesa kuliko utu, ukimtizama mondi hana uzuri wowote bt anajilia pisi qali kuliko hata nyie mnaobwabwaja hapa, we unadhani asingekua na pesa angewapata?