Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
😀😀😀all the way to madale for just swimming??
lakini pale maji marefu bana hakuna anaechomoa kabisa mialiko hii inapendwa na dada zetu
 
Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
FEdha ni kitu ingine......hapo ulipo unatamani maisha mazuri .....pemgine na umaarufu.....mademu woote wa Mondi wamekuwa maarufu na wana pata madeal ya ubalozi kwenye bidhaa mbalimbali, nk nk....hivyo hakuna atayeweza kuchomoa
 
😀😀😀all the way to madale for just swimming??
lakini pale maji marefu bana hakuna anaechomoa kabisa mialiko hii inapendwa na dada zetu
mkuu wanavojitoa akili hapa utadhani wapo serious kivile, alafu ukute wanaojishaua ni vimeo tu hawafiki hata robo hadhi na uzuri wa akina zari, mobeto na tanasha na nk... alotoka nao mwamba, nachojiuliza sijui zao zina tv ndani hadi wajishaue kiasi hiki
 
mkuu wanavojitoa akili hapa utadhani wapo serious kivile, alafu ukute wanaojishaua ni vimeo tu hawafiki hata robo hadhi na uzuri wa akina zari, mobeto na tanasha na nk... alotoka nao mwamba, nachojiuliza sijui zao zina tv ndani hadi wajishaue kiasi hiki
noma sana jomba sijui kipi hasa kimekwamisha kote huko pamoja na ulimbwende wote ila wahenga walisema kwamba "Pata pesa tujue tabia yako"
kwa sasa sisters walio wengi macho yao kwa wallet tu ukiwa nazo unajishindia kama bingo
 
FEdha ni kitu ingine......hapo ulipo unatamani maisha mazuri .....pemgine na umaarufu.....mademu woote wa Mondi wamekuwa maarufu na wana pata madeal ya ubalozi kwenye bidhaa mbalimbali, nk nk....hivyo hakuna atayeweza kuchomoa
Umeshasema wapenzi wa diamond and not me na madeal gani wamepata ya maana, Don be fooled with ig fake life.
Pia Mimi na maisha yangu ya kawaida nimeridhika nayo kuliko hayo maisha fake ya wasanii huku depression ikiwaua ndio maana Vanessa mdee akaachana nayo
 
Takataka kabisa wewe.... Tena usilete unafiki hapa. Hapo ulipo kuna mtu anakukula sababu ya kukupa pesa ya vocha...... Kwann mademu wa bongo mnakuwaga wanafiki hivi ndio maana mnachezewa sana.... Hebu tupishe huko fala wewe...
We mnduku usilazimishe mimi nimesema wewe nani uniforce?

Kutombwaa kwako kwa vocha usilazimishe kwa wengine ucheapness wako!

Endelea kuuza mabeseni, soketi za mchina barabarani,na kijambio maana stress zimekupiga umechakaa mpaka akili

Mav.i kabisa mfyuuu[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Mimi ndiyo nani huyo? Mkuu labda ungesindikiza uzi na picha........daah mi na hao Masupa staa wa bongo mbali kabisa
 
noma sana jomba sijui kipi hasa kimekwamisha kote huko pamoja na ulimbwende wote ila wahenga walisema kwamba "Pata pesa tujue tabia yako"
kwa sasa sisters walio wengi macho yao kwa wallet tu ukiwa nazo unajishindia kama bingo
hawa wanaobisha hapa wakiwa nyuma ya kibodi wanasogeza muda tu maana sidhani kama wanamaisha hata ya kuwakaribia madem alotoka nao mondi
 
Tumekupenda wenyewe, BUREEEE kabisa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji23][emoji23]Mimi sipendagi kunipenda Mimi ni sawa na kukumbatia mzinga wa nyuki
 
[emoji23][emoji23]Mimi sipendagi kunipenda Mimi ni sawa na kukumbatia mzinga wa nyuki
Mbona la kawaida hilo. Tunakumbatia mzinga na asali inabebwa kama kawa. Depends na mavazi unayoendanayo kukumbatia mzinga wa nyuki. unavaa NYUKI PROOF attire 🤣 🤣
 
mkuu mbona hapo hata sijaquote? au leo upo na mood ya michambo? ujue kutofautiana mitizamo katika mjadala ni kitu cha kawaida hivo hakuna haja ya kutoleana maneno mabovu.

tunachozungumzia wanaume hapa ni vile wanawake wa sasa wanaendekeza zaidi pesa kuliko utu, ukimtizama mondi hana uzuri wowote bt anajilia pisi qali kuliko hata nyie mnaobwabwaja hapa, we unadhani asingekua na pesa angewapata?


Kwa upande fulani mko sahihi kabisa kudai kwamba wanawake wengi wanapenda wanaume wenye pesa na kwamba akitokea Mwanaume mwenye pesa yake hachomoi,

lakini mjue kuwa siyo wanawake wote wako hivyo.

Mnapaswa kusema baadhi ya wanawake wako after money na siyo wote,

Hiyo ndiyo hoja ya Cariha muda wote alikuwa anawaambia .

Lakini ninyi mnazungumza kana kwamba ni wanawake wote 100% wako hivyo kwamba kwa kila Mwanaume mwenye pesa akimtaka atakubali, ndiyo Cariha amekataa kwamba siyo kweli.

Unajua kuna maskini jeuri pia wapo wanawake wa hivyo , wanaridhika na walivyonavyo!

Pia inategemea na mitazamo, Imani n.k

Mwanamke mwingine anaweza kuwa na mtazamo kuwa Mwanaume mwenye hela ni hatari kiafya sababu chances za kupata maambukizi ya magonjwa hatari yasiyo na tiba ni kubwa!

Mfano huyo Diamond ambaye anazaa hovyo na wanawake tofauti hiyo inathibitisha kuwa hutembea pekupeku bila zinazoitwa kinga, kwa hiyo chances ya kupata maambukizi ni kubwa sana!

Mwanamke mwenye kujijali afya yake hawezi hata kujaribu kumzoea!

Kuna wanawake wengi tu wanamaisha yao ya kusimama wenyewe bila utegemezi wa Mwanaume yeyote.

Ndipo akasema msichukulie kwa ujumla kuwa wanawake wote wako after money ijapokuwa kuna ukweli lakini siyo wote!

Kwa hiyo mueleweni tu huyo Cariha yuko sahihi kabisa kusema hivyo!
 
mkuu Akilinjema zunguka dunia nzima umpate mwanamke asiependa pesa katika mahusiano na ana maisha yake then uwe na mahusiano nae alafu kazi yako iwe ni kumgaragaza tu alafu usimpe hela ya saloon, shopping na mahitaji mengine uone kama utadumu nae walau miezi 3

wanawake wote wanapenda pesa tofauti ni viwango vya uhitaji wao, wakati nipo shule nilikua na girl friend alinitaka mwenyewe na akaniambia hataki chochote kwangu isipokua mapenzi, tuliishi vizuri mwanzo bt badae alikutana na sponser likaomba namba na kumuachia 50k, nilishangaa kuona mabadiliko ambayo sijazoea bt badae ndo aliniweka wazi na kuniomba samahani...

alinambia marafiki zake daily wanamcheka kua ana mwanaume ambae kazi yake ni kumgaragaza tu wala hampi chochote hivo akanambia hilo ndo limechangia akashawishika, mkuu usiwaamini sana wanawake wakisema kitu maana hawa viumbe hawaelewakagi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom