Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Huyuu atapewaa dyudyuu na kuachwaaa maana hana kipyaa cha kumtulizaa mondi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikiwaza tu kuhusu dini wapo tofauti najua picha haliwezi fika mbali
 
Katika wasanii wakike nilikua na wish kuja kuwatafuna nikiokota hela basi ni huyu Mimi mars huyu mtoto anaonekana ni mtamu jamani

Maninaa kaisha ingia kwenye himaya ya simba mla watu, atatafunwa mpaka kucha
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
I'm real for this gal, hua hata siangaliii tena nyimbo zake. Nikimuona hisia zinapanda kwa kiwango kikubwa sana mbaya zaidi siwezi kumpata
Umewahi kusikia habari za vijana wengi wa miaka ya 80+ kuwa mavumbi kabla ya kufikisha miaka 40?
 
Bora apatepo katoto chotara ka ukumbusho kuliko kuachwa kavu huku keshastaafu muziki

Tayari nshaweka zamani
Hamna harusi hapo mwisho wa siku yeye na mdogo wake watakuwa wanalia kilio kimoja.

Out of topic.
Magoli ya Man ushaweka.
 
Mkuu mimi nimefanya tafakuri na nimefikia hitimisho kuwa hawa hawana mahusiano, ila huenda Mimi Mars ndiye msanii mpya atakayetangazwa chini ya label ya WCB atakayetangazwa. Nimetazama ile video walikuwa kwenye swmming pool nikaunga picha yuko studio nikawaza hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…