Vampiree
JF-Expert Member
- Jun 29, 2020
- 530
- 1,342
Chotar yupi ?... wakaati Rotimi ni Mnigeria tena muafrika gredi 1 kabisBora apatepo katoto chotara ka ukumbusho kuliko kuachwa kavu huku keshastaafu muziki
Tayari nshaweka zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chotar yupi ?... wakaati Rotimi ni Mnigeria tena muafrika gredi 1 kabisBora apatepo katoto chotara ka ukumbusho kuliko kuachwa kavu huku keshastaafu muziki
Tayari nshaweka zamani
kwahiyo ndo Domo afanye kw ajili yako! kaazi kwelikweliKatika wanamziki wa bongo nampenda sana huyu demu. Please D do this for me, usimchezee huyu girl utaniumiza sana[emoji24][emoji24]
Usiniambie kumbe napendwa! sema nini mke mwenyewe keshaanza kunizinguaHaha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
Mbona maandishi yako yanajipinga?Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
Hahahaha sio kwamba hana pesa, Whozu ana utoto mwingi bado still ana akili za kibishoo. Sio kila demu anaangalia hela tu kuna factor zingine wanazingatia
[emoji16][emoji16][emoji16] uafrica una magredi kumbeChotar yupi ?... wakaati Rotimi ni Mnigeria tena muafrika gredi 1 kabis
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi Janelowasa wewe ni gredi gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] uafrica una magredi kumbe
Huyo uliyemtag anahusikaje kwenye komenti yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi Janelowasa wewe ni gredi gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chotar yupi ?... wakaati Rotimi ni Mnigeria tena muafrika gredi 1 kabis
Kwahiyo mondi anamaanisha hana mpango kabisa na CHUCHU (Zuchu)??
yani ww sasa ndo roho yangu umeitoa kabixaaaaaaaaa kwamba😢Haha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
😅Katika wanamziki wa bongo nampenda sana huyu demu. Please D do this for me, usimchezee huyu girl utaniumiza sana😭😭
Pole sana Mkuu,Haha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
😅😅 kwamba anawahisha mzigooHamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
Roho imeniuma sana
Yanajipingaje, hela inaangaliwa ila na IQ pia. Sio kila demu anatoka na mwenye hela tu. Wengine huzingatia mengineyoMbona maandishi yako yanajipinga?
Mbona mwanzo umesema hakuna mwanamke anaweza kumkataa Dai, wakati unaelewa kuwa watu wa preferences tofautiYanajipingaje, hela inaangaliwa ila na IQ pia. Sio kila demu anatoka na mwenye hela tu. Wengine huzingatia mengineyo