Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
Mbona maandishi yako yanajipinga?
Hahahaha sio kwamba hana pesa, Whozu ana utoto mwingi bado still ana akili za kibishoo. Sio kila demu anaangalia hela tu kuna factor zingine wanazingatia
 
Mobeto vipi Tena tulisikia ana ujauzito wa Mondi
 
Huu muingiliano wa hawa wasanii kuna haja sasa kama serikali watoe elimu kwa wasanii wajali afya zao mapenz ya wasanii hayadumu wakishaachana wanaendelea kakutana na watu wengin
 
Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
😅😅 kwamba anawahisha mzigoo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom