Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapema kabisa
 
Picha wajameni,mnatutenga sisi wazee wa mapichapicha.
huku kijiji cha namtumbo mimi marz atumjui.
kwenye mabucha ya Mondi tunamjua Zuchu,dada mkenya na ile incubator ya sauzi.
NAWATAFUNA 🤣🤣🤣🤣
138734_oBsH1meoynQ0Y9A5r4m1TaokSOlL_b.jpg
01f0497dedae48ef56e47a2b99c5ace3.jpg

Huyo ndio chombo Cha CEO
 
Huu muingiliano wa hawa wasanii kuna haja sasa kama serikali watoe elimu kwa wasanii wajali afya zao mapenz ya wasanii hayadumu wakishaachana wanaendelea kakutana na watu wengin

Mkuu afya yako halafu ikulindie serikali? Yani hiyo elimu waipeleke huko vijijini lakini wasanii kuna kipi cha kuwafundisha wasichokielewa? Wapo exposed enough.

Mkuu tafuta pesa tu ndio jambo la msingi afya bila pesa ni matumizi mabaya ya afya yenyewe
 
Wasalaam wana Jamvi!


Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.

Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....

Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!

Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....

Hongera sana Mimi Mars!
Diamond a.k.a Mediocre
 
Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkuu mimi nimefanya tafakuri na nimefikia hitimisho kuwa hawa hawana mahusiano, ila huenda Mimi Mars ndiye msanii mpya atakayetangazwa chini ya label ya WCB atakayetangazwa. Nimetazama ile video walikuwa kwenye swmming pool nikaunga picha yuko studio nikawaza hivyo.
That is what we call postive thinking
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom