financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hapo kwenye uzuri ndiyo nnapomaanisha utakua disappointed mkuu😛🤣🤣🤣🤣 Nitawezaje kuwa disappointed kukufuatilia mtoto mzuri Kama wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye uzuri ndiyo nnapomaanisha utakua disappointed mkuu😛🤣🤣🤣🤣 Nitawezaje kuwa disappointed kukufuatilia mtoto mzuri Kama wewe?
Grandson mambo! 😘Like me.
I like my grandmom
Aisee asithubutu kabisa, aangalie mlolongo wa single moms walioachwa na huyo Diamond atulie tu.Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
Poa ,how is your Sunday ?Poa vip grand mom..
Acha wivu bibi....Aisee asithubutu kabisa, aangalie mlolongo wa single moms walioachwa na huyo Diamond atulie tu.
Aisee haiwezekani kabisa, afu ni mdogo yuleAcha wivu bibi....
Hivi mfano mondi akimtaka financial services leo...itakuwaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee haiwezekani kabisa, afu ni mdogo yule
😳😳Wacha bwana, hata mama yako?
mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataaAisee asithubutu kabisa, aangalie mlolongo wa single moms walioachwa na huyo Diamond atulie tu.
Umejuaje kama ni mdada???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni mwanaa jeee...mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataa
huyo ni mrembo mkuuUmejuaje kama ni mdada???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni mwanaa jeee...
Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my typeWewe ungemkataa mkurugenzi Domo kua mkweli?
Mambo yake hufanya kimya kimya sanaMkuu
Umejuaje mimi mars ni malaya ?
whats ur type!?..Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
Yeye atajiaminisha ni Bora kuliko wote sijui huwa wanafikiria niniAisee asithubutu kabisa, aangalie mlolongo wa single moms walioachwa na huyo Diamond atulie tu.
Ndo utufahamishe, u seem u know what we dont knowMambo yake hufanya kimya kimya sana