Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Aisee asithubutu kabisa, aangalie mlolongo wa single moms walioachwa na huyo Diamond atulie tu.
mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataa
 
mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataa
Umejuaje kama ni mdada???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni mwanaa jeee...
 
Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
whats ur type!?..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom