Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Wasalaam wana Jamvi!


Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.

Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....

Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!

Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....

Hongera sana Mimi Mars!
Post pendwa za warumi hizi.
 
mkuu mwanaume timamu kichwani ni yupi?
Anarusha kipindi tu huyo, wanawake wote wa mjini wanataka wanaume wenye hela. Kwa privacy huyu anaitwa kwenye private boat ya dollar 1200 tu. Anapangwa Don Fumbwe amlete anafatwa na dereva wa V8 alipo huko na analetwa.

Yani analika vizuri tu asikuchosheni, hamna mwanamke wa kichaga asiyependa pesa au mwanaume mwenye life. Tena anaweza chilwa na asipewe hata sumni akatulia zake just for fame

Hata huyo mimi mars alikataa kuwa hawez gongwa na wasanii ila ndio hao hao wanamchilla
 
Anarusha kipindi tu huyo, wanawake wote wa mjini wanataka wanaume wenye hela. Kwa privacy huyu anaitwa kwenye private boat ya dollar 1200 tu. Anapangwa Don Fumbwe amlete anafatwa na dereva wa V8 alipo huko na analetwa.

Yani analika vizuri tu asikuchosheni, hamna mwanamke wa kichaga asiyependa pesa au mwanaume mwenye life. Tena anaweza chilwa na asipewe hata sumni akatulia zake just for fame

Hata huyo mimi mars alikataa kuwa hawez gongwa na wasanii ila ndio hao hao wanamchilla
Au amsindikize kenya tu kwenye show fulani hivi,kwanza hatalala hiyo siku
 
Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
Mbona kama una teseka

SUBIRI KIDOGO
 
Si anasema hapa tu mkuu,akiitishwa kwenye BMW X 6 aende mjengoni unadhani atachomoka,inamaana akina joket ni hadhi ya chini?
hahaaaaaa... mkuu mi kwa nlivomuelewa cariha ni kua ana "woman's pride" kwa wanawake hcho kitu ni cha kawaida na wana ki value, ndo maana anachokifanya mwenzie yy anaona utopolo japo yy pia anaweza kukifanya kwa wakati tofauti ila kwa kisingizio cha "i have my reasons".
 
Diamond kanipoteza shabiki wake .huyu ni mpenzi wangu wa kitambo shahidi sabuni na bafu yangu nikiwa peke yangu ,huu ni uuaji wa kimbali wa moyo wangu
 
hahaaaaaa... mkuu mi kwa nlivomuelewa cariha ni kua ana "woman's pride" kwa wanawake hcho kitu ni cha kawaida na wana ki value, ndo maana anachokifanya mwenzie yy anaona utopolo japo yy pia anaweza kukifanya kwa wakati tofauti ila kwa kisingizio cha "i have my reasons".
Yaani huyo hata ukimwambia Mo akikutaka utampa au haumpi atakanusha vibaya sana,huku kimoyo moyo akisema huyu si afanye kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom