Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Wahuni wanatafuna tu, kama Lunya aliweka akampasia Mario. Sema anatombwa na watu ambao sio wapenda kiki. Kwa Mondi kashindwa kuruka maana ni kama dream ya kila demu kutoka nae kwa zama hizi.

😃😃😃😃 nasubiri mond ambwage na mie nika bet nahisi tayari pesa yangu itakuwa imeongezeka..
 
mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataa
Nisikatae kwamba yeye ni nani?,huo mkojo wake ni wa gold tofauti na hawa wengine wa kawaida?, acha hizo bana, ni kujidhalilisha tu eti kuzaa na mtu sababu ni maarufu eti ni Asset,nilidhani ni upendo uliowapeleka kumbe ni kutafuta assets🤔 hapana ntapambana na hawa wa kawaida tu.

Ila nadhani wewe ukiipata hiyo nafasi ya kukojolewa naye, hutochelewa eeh??
 
Nisikatae kwamba yeye ni nani?,huo mkojo wake ni wa gold tofauti na hawa wengine wa kawaida?, acha hizo bana, ni kujidhalilisha tu eti kuzaa na mtu sababu ni maarufu eti ni Asset,nilidhani ni upendo uliowapeleka kumbe ni kutafuta assets
mkuu naona umeamua kunitukana japo naheshim mawazo yako
 
I know myself on my mind dear
Nyinyi mnaongea hivyo ndio mnakuwaga wepesi kuliko hata hao wanaojipeleka remember that huyo Mimi Mars aliwahi kusema hawawezi kudate na mtu yoyote maarufu jiulize imekuaje now yupo na mondi
 
Nyinyi mnaongea hivyo ndio mnakuwaga wepesi kuliko hata hao wanaojipeleka remember that huyo Mimi Mars aliwahi kusema hawawezi kudate na mtu yoyote maarufu jiulize imekuaje now yupo na mondi
Huyo Mimi Mars mdaganjaji kitambo na yeye msanii so haishangazi kuwa na diamond ili apate kiki, Sasa Mimi mtu wakawaida nisiye taka umaarufu diamond sio type kabisa na sio matter sijui tunasemaga hivi na vile hapana kwa kweli
 
Huyo Mimi Mars mdaganjaji kitambo na yeye msanii so haishangazi kuwa na diamond ili apate kiki, Sasa Mimi mtu wakawaida nisiye taka umaarufu diamond sio type kabisa na sio matter sijui tunasemaga hivi na vile hapana kwa kweli
cariha Sio tu umaarufu Hakuna demu yoyote hapa duniani ambaye apendi kudate na mtu mwenye hela labda tu huyo demu awe anajiweza kwelikweli so usitupigie porojo hapa Hawa mademu tunawajua vizuri sana.Hapa uonaongea hivyo kwasababu ujawahi kuonana na diamond akikupeleka tu shopping tu ya nyota 5 alafu akakuambia chagua nguo yoyote unayotaka stress zote zinaisha na unapagawa kabisa.
joseph1989
Extrovert
Mzee Kigogo
last king of uscoch
 
hahaaaaaa... mkuu mi kwa nlivomuelewa cariha ni kua ana "woman's pride" kwa wanawake hcho kitu ni cha kawaida na wana ki value, ndo maana anachokifanya mwenzie yy anaona utopolo japo yy pia anaweza kukifanya kwa wakati tofauti ila kwa kisingizio cha "i have my reasons".
🤣🤣🤣🤣🤣
 
cariha Sio tu umaarufu Hakuna demu yoyote hapa duniani ambaye apendi kudate na mtu mwenye hela labda tu huyo demu awe anajiweza kwelikweli so usitupigie porojo hapa Hawa mademu tunawajua vizuri sana.Hapa uonaongea hivyo kwasababu ujawahi kuonana na diamond akikupeleka tu shopping tu ya nyota 5 alafu akakuambia chagua nguo yoyote unayotaka stress zote zinaisha na unapagawa kabisa.
joseph1989
Extrovert
Mzee Kigogo
last king of uscoch
Diamond Hana hela yoyote huyo labda umaarufu na Mimi ni tofauti na hao wanawake wengine, to me fame or money sometime sio my priority,most hupenda kufanya Mambo ninayojiskia na sio kuwa influenced na kitu flani,kitu kinachonipa furaha ndio nafanya failure to do so I can't my dear, honestly speaking
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom