cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi sasa nasema big no kubwa kabisa wallah we differAah wewe! Kila demu anasemaga hivyo lakini mwisho wa siku domo anapiga shuti moja tu chalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sasa nasema big no kubwa kabisa wallah we differAah wewe! Kila demu anasemaga hivyo lakini mwisho wa siku domo anapiga shuti moja tu chalii
Wewe endelea kulala vidampa wenzako Mimi hunipatiKabla u mwaka auja isha lazima nku lale...i promise[emoji850][emoji850] screenshoot i comment
SUBIRI KIDOGO
Haha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
Wahuni wanatafuna tu, kama Lunya aliweka akampasia Mario. Sema anatombwa na watu ambao sio wapenda kiki. Kwa Mondi kashindwa kuruka maana ni kama dream ya kila demu kutoka nae kwa zama hizi.
ni kisu haswaIla Mimi Mars Ni kifaa aisee ningekuwa Ni staa ningeanza na huyu demu anafaa kwa matumizi ya binadamu hata kuoa kabisa.
financial services unazani sikujui niliwahi kukuona Kama Mara mbili hivi Tandika wewe Ni mwembamba ila sio Sana una maji ya kunywa alafu napenda Sana upaja wako una mapaja mazuri Sana endelea tu kutuvalia nguo fupiHapo kwenye uzuri ndiyo nnapomaanisha utakua disappointed mkuu😛
Nisikatae kwamba yeye ni nani?,huo mkojo wake ni wa gold tofauti na hawa wengine wa kawaida?, acha hizo bana, ni kujidhalilisha tu eti kuzaa na mtu sababu ni maarufu eti ni Asset,nilidhani ni upendo uliowapeleka kumbe ni kutafuta assets🤔 hapana ntapambana na hawa wa kawaida tu.mkuu usiwaone wajinga walozaa na mondi, hao tayari washaweka asset ya kesho kupitia watoto zao, yaani wale watoto wa mondi wote ni ma-star wa kesho hata kama hawatakua wasanii, sidhani hata wewe ukipata nafasi ya kukojolewa na huyu bwana kama unaeza kukataa
Phoenix Unaonaje hiyo couple bidada?Kazi on the way
Mmmmmh, umenifananisha labda mkuu🤔🤔financial services unazani sikujui niliwahi kukuona Kama Mara mbili hivi Tandika wewe Ni mwembamba ila sio Sana una maji ya kunywa alafu napenda Sana upaja wako una mapaja mazuri Sana endelea tu kutuvalia nguo fupi
ha ha ha!! hivi bro uhusiano wa mdomo mdogo na K mnato upoje?Daah...kweli mkuu,ila ka Zuchu kanaonekana Bado kabichi kabisa na ile midomo yake midogo nahisi katakua na mnato
mkuu naona umeamua kunitukana japo naheshim mawazo yakoNisikatae kwamba yeye ni nani?,huo mkojo wake ni wa gold tofauti na hawa wengine wa kawaida?, acha hizo bana, ni kujidhalilisha tu eti kuzaa na mtu sababu ni maarufu eti ni Asset,nilidhani ni upendo uliowapeleka kumbe ni kutafuta assets
Nyinyi mnaongea hivyo ndio mnakuwaga wepesi kuliko hata hao wanaojipeleka remember that huyo Mimi Mars aliwahi kusema hawawezi kudate na mtu yoyote maarufu jiulize imekuaje now yupo na mondiI know myself on my mind dear
Huyo Mimi Mars mdaganjaji kitambo na yeye msanii so haishangazi kuwa na diamond ili apate kiki, Sasa Mimi mtu wakawaida nisiye taka umaarufu diamond sio type kabisa na sio matter sijui tunasemaga hivi na vile hapana kwa kweliNyinyi mnaongea hivyo ndio mnakuwaga wepesi kuliko hata hao wanaojipeleka remember that huyo Mimi Mars aliwahi kusema hawawezi kudate na mtu yoyote maarufu jiulize imekuaje now yupo na mondi
🤣🤣🤣🤣🤣Atakimbia mpaka sket itapanda kwa juu
cariha Sio tu umaarufu Hakuna demu yoyote hapa duniani ambaye apendi kudate na mtu mwenye hela labda tu huyo demu awe anajiweza kwelikweli so usitupigie porojo hapa Hawa mademu tunawajua vizuri sana.Hapa uonaongea hivyo kwasababu ujawahi kuonana na diamond akikupeleka tu shopping tu ya nyota 5 alafu akakuambia chagua nguo yoyote unayotaka stress zote zinaisha na unapagawa kabisa.Huyo Mimi Mars mdaganjaji kitambo na yeye msanii so haishangazi kuwa na diamond ili apate kiki, Sasa Mimi mtu wakawaida nisiye taka umaarufu diamond sio type kabisa na sio matter sijui tunasemaga hivi na vile hapana kwa kweli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Au amsindikize kenya tu kwenye show fulani hivi,kwanza hatalala hiyo siku
Mnatungizua nyie [emoji849][emoji849][emoji849]Poa vip grand mom..
🤣🤣🤣🤣🤣hahaaaaaa... mkuu mi kwa nlivomuelewa cariha ni kua ana "woman's pride" kwa wanawake hcho kitu ni cha kawaida na wana ki value, ndo maana anachokifanya mwenzie yy anaona utopolo japo yy pia anaweza kukifanya kwa wakati tofauti ila kwa kisingizio cha "i have my reasons".
Diamond Hana hela yoyote huyo labda umaarufu na Mimi ni tofauti na hao wanawake wengine, to me fame or money sometime sio my priority,most hupenda kufanya Mambo ninayojiskia na sio kuwa influenced na kitu flani,kitu kinachonipa furaha ndio nafanya failure to do so I can't my dear, honestly speakingcariha Sio tu umaarufu Hakuna demu yoyote hapa duniani ambaye apendi kudate na mtu mwenye hela labda tu huyo demu awe anajiweza kwelikweli so usitupigie porojo hapa Hawa mademu tunawajua vizuri sana.Hapa uonaongea hivyo kwasababu ujawahi kuonana na diamond akikupeleka tu shopping tu ya nyota 5 alafu akakuambia chagua nguo yoyote unayotaka stress zote zinaisha na unapagawa kabisa.
joseph1989
Extrovert
Mzee Kigogo
last king of uscoch
Nguvu ya pesa na umaarufu wa diamond unakataajeHuyu manzi alishawahi kusema hataki kutoka na wanaume famous hasa wa bongo flavour.