sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
UnatakajeMnatungizua nyie [emoji849][emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnatakajeMnatungizua nyie [emoji849][emoji849][emoji849]
Tandale boy smells a lot of doughDiamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
I can kabisa Yani he is not the type of guy I prefer frankly speaking I know people won't believe itTandale boy smells a lot of dough
U can't resist him .
U might be a "SHANGAZI"I can kabisa Yani he is not the type of guy I prefer frankly speaking I know people won't believe it
Ebu kuwa serious diamond Hana hela?Mtu anamiliki magari ya kifahari Kama MBW x 6 ana company kubwa ya WCB label, Ana hotel bado pia kawekeza kwenye media unasema ana hela du! hii kaliDiamond Hana hela yoyote huyo labda umaarufu na Mimi ni tofauti na hao wanawake wengine, to me fame or money sometime sio my priority,most hupenda kufanya Mambo ninayojiskia na sio kuwa influenced na kitu flani,kitu kinachonipa furaha ndio nafanya failure to do so I can't my dear, honestly speaking
Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wanguEbu kuwa serious diamond Hana hela?Mtu anamiliki magari ya kifahari Kama MBW x 6 ana company kubwa ya WCB label, Ana hotel bado pia kawekeza kwenye media unasema ana hela du! hii kali
Hahaaa a big no.U might be a "SHANGAZI"
[emoji12]
Shangazi power [emoji2]Hahaaa a big no.
Feminist has nothing to do with preferences my dear, wewe kupenda Jambo flani haihusikani na lolote it's just what you want I don't hate diamond as you used kuchukia basi tu kila mtu na aina ya watu wanaopenda kulingana na chemistry na kiupaumbele that's all. Don't blame feminist to even what we like and don't likeShangazi power [emoji2]
Feminists wanamchukia dai wa watu.
Dai nae ana moyo nyie
Sawa mkuuFeminist has nothing to do with preferences my dear, wewe kupenda Jambo flani haihusikani na lolote it's just what you want I don't hate diamond as you used kuchukia basi tu kila mtu na aina ya watu wanaopenda kulingana na chemistry na kiupaumbele that's all. Don't blame feminist to even what we like and don't like
Zuchu wa kawaida sana yuleZuchu hamna kitu pale kaka! yawezekana hata demu wako ni Mali kimzidi chuchu..pia akikua zaidi atakuwa kama mama yake
Natamani nione sura yako yangenipa majibu mengi kuhusu weweHvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
KabisaSometimes watu wanaitumia kuhalalisha usenge wao
Mmmh maneno ya mkosaji hayoooAisee haiwezekani kabisa, afu ni mdogo yule
Manene yamkosaji hayoooDiamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
We mtoto nakuonaga unapanda magari ya Mbezi pale Tandika Nina data nyingi juu yako na hii Ni cos nakupendaMmmmmh, umenifananisha labda mkuu🤔🤔
alichoongea cariha kwenye post yake ni sawa na ule msemo wa sizitaki mbichi hizi.Manene yamkosaji hayooo