Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mshikenii huyu amelewaaaaEeh Whozu mpenda sifa yule dogo,,,madem wengi wanaojielewa hawamaindi mikato ile ya sifa sifa za kijinga.
Akawatombe akina Giggy tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshikenii huyu amelewaaaaEeh Whozu mpenda sifa yule dogo,,,madem wengi wanaojielewa hawamaindi mikato ile ya sifa sifa za kijinga.
Akawatombe akina Giggy tu
Linavuta na bangi hilo lidemu hata sioni uzuri wake na ile sauti zege[emoji57]Yule aliyeoa juzi Kati, Mimi mars Malaya wa kichini chini naona kwa mond kataka yawe hewani
Walishanyukana kitambo, ile ilikuwa namna ya misosi nitoke vipiAisee nimeshangaa juzi tu baada ya Diamond kusema anampendaga, mara leo naona wako swimming pool duh, it's like alikua anasubiria hiyo chance itokee tu, sijui ni kiki ama kweli[emoji848]
Ambebee mara ngapi?[emoji848]Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
Hyo bangi itakuwa kajifunxia huku arusha maana mademu wa chugga na bangi huwa wanaona sifa, hafu mama yao ni mtu wa dini Sana wanawe sasa, sijui ndio umaarufu umewaharibuLinavuta na bangi hilo lidemu hata sioni uzuri wake na ile sauti zege[emoji57]
Ahaaaha mbona incubator [emoji849][emoji16]Picha wajameni,mnatutenga sisi wazee wa mapichapicha.
huku kijiji cha namtumbo mimi marz atumjui.
kwenye mabucha ya Mondi tunamjua Zuchu,dada mkenya na ile incubator ya sauzi.
Mimi g nako ni mtoto wa bamkubwa tumefanana sanaaaWewe ndiye Gnako😀,?
Nenda kapige compaignWasalaam wana Jamvi!
Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.
Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....
Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!
Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Hongera sana Mimi Mars!
Hawa wanawake acha diamond aongeze single mom mjiniAmbebee mara ngapi?[emoji848]
Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtakiDiamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
Ni kaka zake kidamu?Whozu hana kitu anawategemea kaka yake Frank Knows na Fred Vunjabei.
Huyo password zake nnazo mie! 😂😂😂 Hafai kwa mganga amini yani!
Usitusemelee mkuu sio woteAnarusha kipindi tu huyo, wanawake wote wa mjini wanataka wanaume wenye hela. Kwa privacy huyu anaitwa kwenye private boat ya dollar 1200 tu. Anapangwa Don Fumbwe amlete anafatwa na dereva wa V8 alipo huko na analetwa.
Yani analika vizuri tu asikuchosheni, hamna mwanamke wa kichaga asiyependa pesa au mwanaume mwenye life. Tena anaweza chilwa na asipewe hata sumni akatulia zake just for fame
Hata huyo mimi mars alikataa kuwa hawez gongwa na wasanii ila ndio hao hao wanamchilla
Tunasubiri nini sasa kaka ?Huyo password zake nnazo mie! 😂😂😂 Hafai kwa mganga amini yani!
Sio hadhi ya chini ila inategemea na nyege zake zinampelekajeSi anasema hapa tu mkuu,akiitishwa kwenye BMW X 6 aende mjengoni unadhani atachomoka,inamaana akina joket ni hadhi ya chini?
Wacha tumalize 28 October kwanzaTunasubiri nini sasa kaka ?
Pesa nikose na hata pisi nisizitafune?