Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Mimi sifanyi kabisa eti na diamond Bora nilalwe na mwanaume kichaa, diamond sio type ya wanaume ninao wa admirer so uelewe na ukimuweka joketi sijui Nani, joketi hajatuliaga tangu zamani, pia ujinga wa umaarufu ulimubeba, so hyo ya kusema sijui nitoke naye ni big no kwa kweli
Kumbe nimeamini akili ya wanaume ilipo

Kumbe wanahisi kila mwanamke akiona mwanaume ana hela basi kila mwanamke anamtaka[emoji849][emoji849][emoji15] haya ni maajabu asee

Hawajui kuwa na sisi tuna preference zetu mweeeh[emoji848]
 
Usitusemelee mkuu sio wote

Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo

Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
Sikuongelei vibaya ila so far mwanaume kama Uchebe akikufuata fundi gereji flani unaweza kumpa chance ya kuwa nae kimapenzi? Au mwanaume anaebrashi viatu tu mkono uende kinywani? Au hata muuza maji tu barabarani?

Okay, tusiende mbali...kijana tu ambaye yupo jobless. Pengine ni graduate tu.

Just kuwa honest unaweza date na hao walioainishwa against kijana mwenye pesa kama diamond!
 
Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki

Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wako

Labda over my dead body

Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
Mimi nashangaa wanaovulia chupi Hadi kumzalia watoto kabisa I thought zari was smart enough kumbe na yeye walewale tu anakuwa umri tena kamzalia chap chap ili amkamate, tena Bora sikuhizi huyo diamond kiki zake za wanawake na kuzalilisha watu wamezichoka na kuona kawaida.
Na hao wanaume wanafikiria pesa ni kila kitu kwetu sisi wanawake wanakosea Sana life is more than fame and money
 
Sikuongelei vibaya ila so far mwanaume kama Uchebe akikufuata fundi gereji flani unaweza kumpa chance ya kuwa nae kimapenzi? Au mwanaume anaebrashi viatu tu mkono uende kinywani? Au hata muuza maji tu barabarani?

Okay, tusiende mbali...kijana tu ambaye yupo jobless. Pengine ni graduate tu.

Just kuwa honest unaweza date na hao walioainishwa against kijana mwenye pesa kama diamond!
Kama roho yangu imempenda why not?[emoji849][emoji849][emoji15]

Mkuu we unashangaza sana, mapenzi ya kweli hayaangalii hela

Refer babu seya kisa cha yeye kutaka kuozea gerezani utaelewa namaanisha nini
 
Kumbe nimeamini akili ya wanaume ilipo

Kumbe wanahisi kila mwanamke akiona mwanaume ana hela basi kila mwanamke anamtaka[emoji849][emoji849][emoji15] haya ni maajabu asee

Hawajui kuwa na sisi tuna preference zetu mweeeh[emoji848]
Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
 
Wasalaam wana Jamvi!


Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.

Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....

Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!

Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....

Hongera sana Mimi Mars!
kwahiyo dai kesha pata slave mpya
 
Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Hapa naona mnamaanisha kwamba unachotaka ni mikazo tu sio pesa
Unafaa sana Nina kibanda kimoja

Utanikubali? No way haiwezekani
 
Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Usisahau nguvu za kuwa na mwenye toyo zinakuja kutoka kwa yule mwenye fedha. Katika scenario Kama hiyo, akiachika kwa huyu mwenye fedha automatically ataachika kwa huyo mwenye toyo pia.

NB:Mapenzi sio pesa, Ila pesa ni kichocheo.
 
Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Wanajua sema kujitoa ufahamu tu
 
Usisahau nguvu za kuwa na mwenye toyo zinakuja kutoka kwa yule mwenye fedha. Katika scenario Kama hiyo, akiachika kwa huyu mwenye fedha automatically ataachika kwa huyo mwenye toyo pia.
Si kweli wanawake tunapenda wanaume wanaotujali hisia zetu na kutusikiliza ingawa hela muhimu Ila ukiwa na mtu na mijihela yake hakusikilizi ni rahisi kumwacha aisee.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom